binafsi nilishituka kama mpoki mwenyewe alivyoshituka sababu wimbo wenyewe wa shangazi siuelewagi na sijaona elimu tuliyoipata kutokana na huo wimbo zaidi ya misemo ya ya manzese na mbagala kwetu. Nikilinganisha na vibao weledi vya mjomba vyenye maudhui ya kuelimisha na kukuza kiswahili.
Kuna...
naungana na wewe kwa 120% jamaa anasema udini but ukimchunguza yeye ndo mdini, binafsi nimekuwa namfuatilia toka aingie bungeni 2005 his best friends wamekuwa hao jamaa. Tusifiche zitto na jk ndo wadini, kama wanabisha watutajie wadini ni kina nani..........
Kadanganye Vihiyo wenzako, kila mwenye akili analijua hili haha wakati wa kampeni mlikuwa mnasafirisha watu kuja kwenye mikutano yenu ili mwonekane mnakubalika.................puuuuuuuuuuuuu, fyuuuuuuuuuu.
Makwaia namkubali sana huyu Mzee ni watu tunaowaita wenye uwezo wa kudhubutu. Angepewa nafasi ya Tiddo Mhando kipindi kile!!! duuuu! asingemaliza mkataba coz angeweka mambo yote hadharani bila upendeleo sasa angekuwa mbaya kwa mwajiri .....tetetteteteehhhhh
We acha hizo nao wanaakili hawatadhubutu kwani Jay wa K anajua hatukumchagua na waTZ wameamka hawatakifuta na wakijaribu utaona waTZ wa 2010 - 2015 wakoje. Wee juzi January sukari 1kg Tsh.1400/= sasa Tsh.2000/= Sembe 1kg. Tsh.400 sasa Tsh.600 halafu wale wanaosema ukweli wafutwe Mtanzania gani...
bora nyie mumwambie sisi atasema tumetumwa, nilikuwa siamini kama ni kweli wengi wa jinsia yake walioko ssm ni chakula ya jaykey sasa naamini.................uffffff,puuuuuu!
Huyu BIBI NI MNAFIKI hamna lolote hapo. Angelia pia siku walipobadili kanuni ili kuweka mapandikizi kwenye kamati nyeti za Bunge. Mbona PM alipodanganya UMMA hakulia??? instead alikuwa mkali kama amekula KIJITI cha Mufindi. Siku ipo nayo yaja atatoa machozi ya ukweliiiiii.
kwa maandishi makubwa nakubali. Ukitenda dhambi au kushiriki kutenda au kufanikisha dhambi unakuwa na hofu. Bibi makinda ana hofu mbayaaaaaaaaa! Kama ulimwona baada ya kusema ushahidi uletwe kwa maandishi alikuwa anaongoza bunge bila confidence kabisa. Maana yake alikuwa nahofuuuuuuuuuuuu. Na...
Hahahahaaa, kweli Mkwere na Wenzake ni Normar. Yani baada ya kuona watu walivyokimbia kuokoa maisha yao Gongolamboto basi wakajua watu waoga. Halafu Jamaa kakimbia eti kwenye mkutano ili akija tukimuuliza aseme hata sijawahi kumwona. Mabomu sasa siyo issue tena Arusha nasikia wamepigwa tena...
Mkuu nakuunga mkono kwa hiyo thred. Mi ilinigharimu nikaachwa ila nilisimamia maamuzi yangu na nikampata aliyenielewa na sasa Tunataka kwenda kutambulishana ili iwe wazi. NATURAL INAVUTIA BWANA. Halafu Mdada akiwa Natural anaonekana Kabinti muda mrefu mi ni Shahidi kuna mama ana miaka 50...
Umenigusa SUWI, BADO NAJIULIZA CHAMA HIKI HAKINA WASHAURI??????? IS THIS THE WAY OF RULING???? JE, WANAJISAFISHA AU NDO WANAJICHAFUA TENA KWA OIL CHAFU NA MADOA YASIYOTOKA?? WANAPASWA KUJUA THIS IS NEW ERAS KIZAZI KIPYA KABISA MIAKA 50 YA UHURU WA UPORA MALI ZA UMMA NA KUDHARAU WANACHI KWA...
AZA umenikumbusha Maji yalipowafika shingoni WANAKIJANI wakaamua kumtumia Shimbo kutishia wapigakura hasa wa Vijijini. Hapa ndo mahali pake na siyo siasa.
PINDA KUBALI MDOMO ULIPINDA NA MH: LEMA ALITAKA KUUNYOOSHA ILI UWE UNAONGEA VITU VILIVYONYOOKA. This ia New Generation Mzee! Hata watoto mliowasababishia Div.0 hawawaelewi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.