Mbona humu JF kuna burudani ya kutosha! Mwenzio nikiona siku haiendi vema, natafuta sredi inayochangiwa na watu waliopinda. Baada ya muda stress zoooote kwao. Pole mwaya, utarudi normal.
Baba Sharon, ukitaka toba ya kweli unatakiwa kukiri kwa dhati, na haijalishi uko wapi.
Jamaa kateleza kidogo na katambua kosa lake na kukiri, kilichobaki ni maombi tu. Hakuna kimshindacho Mwenyezi Mungu, hakuna mwenye maarifa zaidi kumshinda yeye.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.