Mimi kwakweli sitasahau ukoloni wa Mzee wa kununua stendi ya Tv na kuwa anaisukuma kuipeleka chumbani mara baada ya kumaliza kuangalia taarfa....ki ukweli ule kwangu nilikuona naona ni ukoloni ile mbaya
Ebu tukumbushane ukoloni wa hawa wazee wetu wa zaman
Kama kichwa kinavyojieleza
Mi niliwahi kuchanganya msg bhana namtumia Dem wangu mmoja hivi ila ikaenda kwa mtu mwingne nae pia alikuwa demu wangu ila nikaikwepa bhana
Msg ilikuwa inasema kwamba
Beb nikifka hpo nishukie wap?
Nikajibiwa
Ushikie hapo wapi?
Nilivyokwepa
Namaansha nikifka kwenu...
Mda mwingne gharama za ujenz huwa sio kubwa kama inavyodhaniwa mara nyingi watu wengi wamekuwa wanauziwa vitu kwa gharama zisizo sahihi hii ni pamoja na kuwaamini mafundi ambao wamekuwa wakipandsha bei ya bidhaa kwa kucheza mchezo mchafu na wauzaji hali ambayo imepelekea bidhaa hasa za ujenzi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.