Search results

  1. N

    Dhana ya kutenganisha mamlaka (mihimili) ie Separation of powers, je inafanya kazi kwa kiasi gani hapa kwetu?

    Doctrine ya separation of powers ipo very clear, lakini Nchi yetu imekumbatia mentality ya kijinga ya party supremacy. Hali hiyo inasababisha majaji wajione sehemu ya utekelezaji maagizo ya serikali katika judicial system, Rais anamuhukumu Mshitakiwa kabla ata kesi haijasikilizwa, kesi ya Mbowe...
  2. N

    Vyeo vya Jeshi la Polisi Tanzania kwa protocol

    Ni vema ukaeleza mafanikio yako baada ya kukataa hiyo kazi, unaweza kukuta sasa hivi wewe huna kazi bali ni mtu wa kutegemea vibarua na baadaye jioni jioni hivi hukosi maeneo ya mataputapu(chimpumu,dadii,kangara,mwisho saa sita,na nyingine zote kama zile zinazopatikana pale manzese kambi ya fisi)
  3. N

    Urinary Tract Infection (UTI): Chanzo, Dalili na Kinga/Tiba yake

    Dugu yangu ana UTI sugu, ametumia dawa za aina mbalimbali ikiwemo sindano lakini bado UTI ipo mwilini mwake, je wajuzi wa tiba ni kweli hakuna ufumbuzi wa tatizo hilo?
  4. N

    Uchaguzi 2020 Gwajima, dharau hizi hutafika popote

    Mambo mengi umezungumza ila kuhusu mahakama tatizo kubwa ni suala la kufanya Jambo la kikatiba wakati nchi yetu haina dini, Sasa hivi mahakama hizo zipo lakini si kikatiba, kwa hiyo kwenye Hilo alikuwa na haki ya kupinga. Wewe umeliweka katika mtazamo wa kichuki zaidi badala ya mtazamo wa kisheria.
  5. N

    Uchaguzi 2020 Paul Makonda: Asanteni sana Kigamboni, mapenzi ya Mungu ni makubwa kuliko mapenzi yangu

    VOX POPULI VOX DEI " The voice of the People is the voice of GOD"
  6. N

    Nataka kuja Tanzania kutafuta maisha naomba ushauri wenu

    Lugha uliyoandika hapa si ya mtu aliyekulia Kenya, anyway, by the way DON"T COME
  7. N

    Kwanini watoto wengi wanapenda wali-maharage?

    Kipato cha Mtanzania ndiyo ilikuwa sababu kubwa ya maharage kutumika kwenye nyumba nyingi. Shuleni huwezi kuwa na bajeti ya nyama kila siku au kila mara kwani uwezo huo haukuwepo, vivyo hivyo kwenye ngazi ya familia, miaka ya nyuma ikipikwa nyama nyumbani ni sherehe ata kwenye familia za...
  8. N

    Dawa hii (D-Mannose, 500 Mg) inapatikana wapi?

    Sina uhakika kama nimeelewa swali lako vizuri lakini nimeambiwa inasaidia wenye matatizo ya UTI sugu, ant-biotic
  9. N

    Dawa hii (D-Mannose, 500 Mg) inapatikana wapi?

    Habari zenu wana JF, Nauliza kwa yeyote ambaye ameshawahi kuona dawa hii, D-Mannose, 500 Mg ni Supplement. kama ipo naweza kuipata wapi? Nitashukuru sana.
  10. N

    Rugemalila aitaka Benki Kuu iwataje watu wote waliopata mgawo wa Escrow. Gavana asita, aomba ruhusa ya Mahakama awataje

    All criminal cases are civil but not all civil cases are criminal, kwa hiyo madai ya fidia kwenye kesi kama hiyo ni maintainable before the law.
  11. N

    Je sisi wote kweli ni uzao wa Adam na Hawa?

    Kwa hiyo wewe umeshasahahu kabisa FUU LA MTU WA KALE LILIPOGUNDULIWA? Kwa hiyo Kaini asili yake Tanzania?
  12. N

    Je, Wajua Bunge linaweza kutoa azimio batili? CAG yuko kikatiba. Je, Bunge lina uwezo kutopokea ripoti ya CAG?

    Hukumu iliyotolewa na Bunge ni NULL AND VOID, it has no effect, maana yake hakukuwa na hukumu yoyote.
  13. N

    Wana JamiiForums waliosoma na Paul Makonda

    mle ba nyana geteee bing'we, mtena masala, gete bakema?ha haaaaaaaaaaa
  14. N

    Serikali ya Tz angalieni upya sheria ya umri wa kufanya ngono,shusheni toka miaka 18 mpaka 15

    Wang'wise sio kila mtu yupo mwanza, nazungumzia Butimba ha haaaaaaaa. Otherwise nami naunga mkono mapendekezo hayo, ni jambo la kijinga sana mtoto wa kike anapelekwa unyago akiwa na miaka kumi au zaidi kutokana na kabila lake, alafu aanze kupractice ngono ten years after, yaani baada ya miaka...
  15. N

    PPF/PSSSF sasa ni utata mubashara

    Usiache kazi lakini, nenda kwanza kajiridhishe ndugu yangu, kwani "nyani na ngedele wote hudandia miti"
  16. N

    Magreth Kobelo Gonzaga anayetafutwa na TAKUKURU kwa kukimbia kesi ni nani?

    Ni vema kuulizwa kocha wa Timu ya Bush Stars kwani jina KOBELO si geni sana ni mchezaji aliyetoka Timu ya chenga mbili kiatu ambayo ilikuwa adui mkubwa wa Timu ya ngumi mkononi stars.
  17. N

    Professa Lipumba achaguliwa kugombea Uenyekiti ndani ya Chama Cha Wananchi(CUF)

    Kosa waliofanya CUF Maalimu ni kutohakikisha amri ya kuzuia mkutano huo inapelekwa na kupokelewa na CUF Lipumba, ndiyo maana majibu kwa mfano ya kina sakaya ni kuwa hawajapokea amri yoyote kutolewa hukumu na kutekelezwa ni vitu viwili tofauti, ni lazima hukumu ile ingetekelezwa kwa wahusika...
  18. N

    Waziri Mkuu: Mkurugenzi unapata wapi power ya kutembea na askari na kuwaamrisha?

    Ile sheria ya Serikali za Mitaa imewafanya Askari wetu kuwa wanyonge sana hasa baada ya kundi la wanasiasa maslahi kuanza kuitumia, Zamani wakati wa awamu ya kwanza pamja na sheria hiyo kuwepo lakini kutokuwepo kwa wanasiasa maslahi kulijenga sana heshima ya Jeshi letu la Polisi. Ni ngumu sana...
  19. N

    Kwanini naamini kuwa Serikali ya Magufuli haitafanikiwa hata 20%...

    Umesema kweli kabisa, Mimi kwa mtazamo wangu kinachtukwamisha watanzania ni Ujinga, Woga na Unafiki, 1 Ujinga kwa sababu watu hawataki kusoma na kujifunza mambo mbalimbali ya kisiasa, kiuchumi na kijamii 2 Woga, woga huu unatokana na watu wengi kutokuwa na elimu ya kutambua haki mbalimbali za...
  20. N

    Chuo cha DSJ na School of Journalism and Mass Communication (SJMC) - UDSM vinahusiana vipi?

    Kazi ya Uandishi habari na utangazaji inahitaji kipaji? Unasikitisha sana ndugu yangu,uwezo wako wa kufikiri ni mdogo sana Kama kazi hiyo inahitaji kipaji kusengekuwepo vyuo basi!!!!!
Back
Top Bottom