President Abdel Fattah Al-Sisi received on Sunday an invitation from his Tanzanian counterpart John Joseph Magufuli to visit Dodoma to put the cornerstone of the Tanzanian Stiegler’s Gorge dam project, according to a statement from Bassam Rady, the presidency spokesperson.
In a phone call...
Namheshimu sana Mh Samiah! Issue sio kumfurahisha, usipotoshe mada. Issue ni kwamba kwanini alionekana kua mnyonge wakati ambapo furaha iliyoko moyoni ingepaswa kuakisiwa usioni?
Wanabodi heshima kwenu.. Leo magazeti mengi yametoa picha na mgombea mwenza wa Magufuli na to my surprise, anaonekana kununa tofauti na mategemeo kwamba angeonekana kuwa mwenye furaha usoni kwa kupata fursa ya kutumiakia watanzania katika ngazi muhimu.
Olele huo uchunguzi ulioufanya nina mashaka nao....Nikuhakikishie yanayosemwa kuhusu Bermuda triangle juu ya mauzauza sii uongo. Wala hulazimishwi kuamini ni kweli kwani hata usipoamini haitabadilisha ukweli uliopo. Katika ile triangle kuna uhusiano na nguvu za giza na wazungu hasa american...
Kisima kati ya vitu ambavyo havipendi mvua ni Ufuta. Ufuta ni zao linalostahimili ukame na halihitaji mvua nyingi. Zile mvua za mwanzo zinatosha kabisa, halihitaji mvua za mfululizo kama mazao mengine.
Ngeba nimeku-pm.
Pasco bana...Kwa mtu nguli wa kuanalyze mambo kama wewe kuandika hii garbage inakera sana. Hebu nitajie sehemu moja tu Tz nzima ambapo serikali imewanyang'anya/imewakatalia wawekezaji na kuwapa wananchi wake? Au sehemu ambayo wawekezaji/wageni wanavuna nakuwapa wenyeji fungu ambalo sio kiduchu...
Wakuu ninatafuta machine ya kukata nyama (Bones cutter machine) kwa ajili ya butcher langu. Ninaihitaji sana. Hivyo kama kuna mtu anauza au kama kuna mtu anajua zinapouzwa hada dar naomba anijulishe kwa kuni-PM. Thanks!
Aisee siku hizi Watanzania tumekuwa na tabia ya ajabu sana. Hata kama mtu akifufua mtu mwingine tutaponda tu ikiwa mtu huyo anatoka CCM. Mwigulu simjui lakini to be sincere, anafanya kazi ipasavyo. He is the likes of Zitto, Mnyika, Tundu Lissu etc
Jamani Zitto amepangwa kuendesha maandamano mkoa ganiii.......??????Na je ataweka uswahiba wake na JK pembeni na kuanza kueleza ghilba za CCM ndani ya mswada mpya wa sheria?
mimi ni researcher na nipo naratibu research hapa dar es salaam ktk na nimefanya tafiti nyingi sana. Hua natuima software package mbalimbali kufanya analysis kama SPSS, NCSS, STATA na nyingine nyingi. Nijulishe kama bado hujapata mtu serious wakukusaidia ili nikusaidie.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.