Najua watu wa Foreign wana hasira kua tunawasema.....but I hope you will learn something out of this, and you will change for the better.....chukieni weweeee, semeni weee, lakini jifunzeni kitu na mbadilike....kuna mambo ya kurekebisha huko kwenu.
Na usituletee mambo ya beurocrasy, sijui...
1. Mtafute jamaa mmoja (Jamaa X) kutoka nchi ambayo mnaweza kuipiga kirahisi
2. Piga nae dili mpromise ten percent yake
3. Lipua mabomu mawili matatu kwenye nchi yako kwenye maeneo yanayoweza kuleta hisia kwa wananchi
4. Msingizie Jamaa X kuwa yeye ndio kalipua hayo mabomu
5. Tengeneza...
Hivi huyu Baba Nanihii vipi? Wenzake tunateseka na mgao na uhaba wa mafuta, yeye anaongelea udini!
Ndio hiki ni kipindi cha Ramadhani kwa hiyo kwenye "normal" condition topic ya udini ingeongelewa.....Lakini huoni kua huu sio muda wake? Huoni kua kuna tatizo kubwa sana linaloendelea sasa hivi...
"Tanzania Daima Leo habari yao kuu ni 'Kikwete amjenga Zitto'. Nisingeshangaa Kama habari hii ya kizushi ingetoka Jamboleo. Nashangaa habari hii kuandikwa na gazeti linalomilikiwa na Kiongozi Mkuu wa Chama changu. Sijengwi na mtu, NINAJIJENGA!" -Zitto Kabwe
Maana hayo maneno kwenye "qoutes"...
Nani anataka tupige dili la mamilioni kwenye Umeme?
Yaani tunaenda serikalini, tunaandikishana mkataba wa kuzalisha umeme.....tunamwalika Clinton au Tony Blair.....au kama vipi tumualike Kim Jong Il.
Halafu muda wa kuzalisha umeme ukifika, tusingizie hakuna gesi ya kutosha kusukuma...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.