Mfumo wa kuendesha mambo yetu una makengeza, muafaka usipatikane katika mhimili husika ukapatikane kwenye mhimili mwingine, tunafanya nini? Huku si kuwacheza shere wananchi?
Wasomi wamekuwa wasaliti wanaotia kichefuchefu. Kama usomi unashindwa kutoa majibu yenye tija kwa umma ni afadhali tuitazame elimu yetu upya kwani tunapotezeana muda. W/Mkuu mpya wa italia amethubutu kwa kuwaengua wanasiasa ambao wanaongozwa na maslahi binafsi kwenye baraza lake la mawaziri...
Wawakilishi hawa ni wanyang'anyi wa jasho la wanyonge. Kama wangeisimamia serikali ipasavyo kuwapatia wananchi huduma stahili isingekuwa tatizo, lakini bahati mbaya taasisi zote mbili ni vipofu walioshikana mikono dhidi ya watanzania wenzao waliowalaghai wawapigie kura wapate kula. Lakini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.