SIKUSUDII KUHARIBU MADA AU KUMKOSOA MTOA MADA,LAKINI TATIZO KUBWA NILILOLIONA NI MATUMIZI YA NENO PAKA BADALA YA MPAKA.MWANDISHI HAKUKOSEA KWA BAHATI MBAYA KWA SABABU AMERUDIA ZAIDI YA MARA MOJA.....UKISIKILIZA NA KUSOMA KWENYE VYOMBO MBALI MBALI VYA HABARI VYA TANZANIA,TATIZO KUBWA LA MATUMIZI...
Wakati mwingine ni vizuri tukajitofautisha na magroup mengine ya mitandao ya kijamii.Ina maana wote humu hatujui mchakato wa kubadilisha nauli unavyofanyika?Hatujui kazi ya SUMATRA?Lini mchakato huo ulifanyika na kukubalika?Majadiliano kati ya watoa huduma na watumia huduma yamefanyika...
Waungwana hongereni kwa kuhitimisha mfungo wa Ramadhan kwa wale walio swali Idd leo,na pia nawatakia maandalizi mema kwa wale watakaosheherekea Idd kesho.Sitarajii kujadili au kuibua mjadala wa kwa nini wengine wanaswali Idd leo na wengine kesho.Kwa kupitia mijadala na machapisho mbali mbali...
Wapi nilipolinganisha?Soma vizuri kwenye comments zangu.Nimesema kuwa Mwalim mwenye Shahada mshahara wake ni mkubwa kuliko mhasibu mwenye shahada.Mwalimu mwenye stashahada mshahara wake ni mkubwa kuliko mhasibu msaidizi mwenye stashahada.Mwalimu mwenye astashahada mshahara wake ni mkubwa kuliko...
Swali lako linanikumbusa tabia za Watanzania,Siku moja nilipanda basi nilikuwa naelekea mkoani,tulipofika kwenye mezani kondokta akatutaka sie tuliokuwa tumekaa viti vya nyuma tusimamae tuende mbele,baada ya basi kupimwa ndio turudi kwenye nafasi zetu.Mimi na mwenzangu tulikataa,kwa sababu...
SAMAHANI KWA UJINGA WANGU......MWALIMU MWENYE SHAHADA MOJA YA UALIMU ANAPOAJIRIWA SERIKALINI HUANZA NA NGAZI YA MSHAHARA YA TGST D,WAKATI MHASIBU MWENYE SHAHADA MOJA HUANZA NA NGAZI YA MSHAHARA YA TGS D.JITAABISHE KIDOGO,TAFUTA MSHAHARA WA TGST D,NA TGS D KISHA ULINGANISHE KISHA URUDI...
UKIONDOA WATU WA KADA ZA AFYA NA NAFASI ZA UTEUZI,UNAWEZA KUNITAJIA MTU WA KADA NYINGINE AMBAYE ANASOMA KOZI YA SHAHADA KWA MIAKA MITATU AMBAYE MSHAHARA WAKE NI MKUBWA KULIKO MWALIMU?UKIZINGATIA KIGEZO GHA ELIMU,WAALIM NI MOJA YA KADA AMBAYO MISHAHARA YAO NI MIKUBWA KULIKO MAAFISA...
Kuna tofauti kati ya kupanda mshahara,kupanda daraja na ongezeko la mwaka la mshahara,yaani yearly increment.Kupanda mshahara ni kuongezeka kwa kiasi cha pesa mtu anacholipwa kila mwezi kama mshahara, mara nyingi sababu huwa kureflect inflation.
Yearly increment ni statutory requirement kwa...
Kama kweli huyo ndugu yako amesoma Degree ya kwanza UDSM,halafu akaenda kusoma Degree ya pili UK,PHD Norway halafu hajui ukipoteza cheti cha form four unafanyaje mpaka anapata tuhuma ya kuwa na cheti feki,basi kuna tatizo kubwa sana aidha kwenye mfumo wa elimu au jinsi huyo ndugu yako...
TOFALI ZINA UKUBWA GANI?KWA MAANA TOFALI NGAPI ZA KUCHOMA ZINACHUKUA NAFASI YA TOFALI MOJA LA `BLOCK`AU KWA WASTANI TOFALI NGAPI ZINATOSHA KUJENGA NYUMBA YA VYUMBA VINNE,SELF.VIPI UBORA WA TOFALI ZENYEWE.HAZIPUKUTIKI?
`Kufuatia kifo cha baba mzazi wa Juma(sio jina halisi)tunaomba michango ya rambi rambi itumwe kwenye namba xxxxxxxx kwa kadri ulivyoguswa....................`Ni ujumbe uliotumwa kwenye group moja la Whatsapp likiwataka wanachama wake watoe michango ya rambi rambi.Sina shida na michango ya rambi...
Mimi huwa siwaelewi watu wa haki za binadamu kwenye matukio kama haya,mtu unamuua mtu ambaya hana hatia,mpita njia tu,ambaye hajui hili wala lile;pengine kawaaga watoto wake kuwa anakwenga kuwanunulia mkate kwa ajili ya kifungua kinywa cha kesho;au labda alikwenda kununua keki kwa ajili ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.