Dosari zilizotajwa ndo kikwazo. Mfano wamesema wapigakura wengine walikuwa hata hawajachukua vitambulisho vyao ZEC, je hawa walipiga kura za kuchagua viongozi wote au wa Zanzibar tu? Wasimamizi wasio waadilifu waliwaongoza wapiga kura wote au kulikuwa na session mbili za kupigakura? Sisi wengine...
Nimeacha kabisa pombe,japo nilikuwa nakunywa mara chache sana yaweza kuwa mara tatu au nne kwa mwaka. Nilivyoona na yeye anapasha tu ikabidi nijitoe tusije kukosa wa kumuonya mwenzake akizidisha.
Wakuu mmesema mengi, wengine kwa ushauri wengine kwa kejeli, wengine kwa pongezi wengine kwa jazba nk. Kwa sisi tulio field sio vibaya tukiwashirikisha japo kwa uchache yale wana Mtwara wanayofikiri na kujua.
Wana Mtwara kama walivyo watanzania wengine, sio mambumbumbu kama wengi wenu...
Ajira sio lazima ziwe huko viwandani, ajira binafsi nazo ni ajira km mama lishe. Kwa jumla fursa za biashara zitatokana na hao mnaoona nyie wanafaa kuajiriwa viwandani.
Huyu kilichomponza ni kutochukua hatua yoyote pale bodaboda walipomfikishia kilio chao cha udhalimu na udhalilishaji wanaofanyiwa na polisi. Amepelekewa malalamiko ya hao vijana zaidi ya mara tatu yeye akawaona wajinga akakauka.
Kwa nini mnang'ang'ania kuwa umeme uliopo Mtwara unatosha? Tunataka viwanda pia viwepo tena sio tu vidogo. Hatukatai gas kusafirishwa lakini basi na huku tuone faida za kuwapo kwa gas hiyo. Kama mitambo mikubwa itakuwa Dar nani atajali kama Mtwara itaingia gizani, nani atakumbuka kuiweka kusini...
Mbona hii mitambo ya megawatt 18 imeshauzwa kwa serikali na siku yoyote TANESCO wanaanza rasmi kuiendesha. Kwa sasa wafanyakazi wa hiyo Artumus Power LTD ambayo baadae iliitwa Wentworth Power LTD wanasubiri tu notes na mshiko wao waanze mbele. Taratibu zote za kuuziana zimeshakamilika na listi...
Una bahati wewe eeh mpaka nakuonea wivu. Hilo gari lako ni aina gani vile?! Jamani waziri wa nini niambie basi, mbona umependelewa bibie. Kesho akikununulia nyumba usikose kutu - update mbarikiwa tracy. Kwa uelewa wako faraja hii inatosha kwa leo.
Hakika, askari polisi walio wengi kwa sasa ni wale watoto ambao aidha walishindikana majumbani kwa wazazi wao na walikwenda CCP wazazi wakitegemea watabadilishwa tabia na hapo hapo kuwin ajira au wale waliofanya vibaya shuleni na ikawa polisi ndio dampo yao. Matokeo yake vijana hawa wameanza...
Hakuna bwana, watoto wenyewe bongo flava hawa wanadanganya wazazi wao, mzazi anapewa namba ya mwanafunzi mwingine aliye na nafuu ya matokeo. Unasubiri mwendelezo miezi inapita hakuna kitu, kuja kustuka olaaaa, mpaka aende shule kujua ukweli!!! Matokeo yaje hivyo hivyo live bila zengwe bora tu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.