Search results

  1. M

    TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    Watumishi wenu wa mwanza wana Tania ya kutengeneza mazingira ya rushwa hadi wanakera, tumemaliza wiring ya nyumba yetu lakini kumpata masavei inaweza chukua miez mitatu hadi 9... Baada ya hapo njoo kwa wanaohusika na kukuunganishia umeme, process inaweza kuchukua mwaka mzima.. Lakini kwa...
  2. M

    Gaudensia Kabaka aeleza sababu za kuzuia Ujenzi wa Msikiti UDOM na kuhamisha wafanyakazi wa hapo

    Sijawahi kuona kanisa hapa UDOM, why msikiti?... Halafu haya mambo ya udini na elimu dunia inabidi yawe na maeneo yake husika.. Kama unataka kusali au kuswali nenda huko ambapo hiyo huduma inapatikana... Hii ni taasisi ya una na sio taasisi inayoshughulikia masuala ya kidini.. Mbona kuna maeneo...
  3. M

    Paul Kagame ashutumu nchi za EAC kwa kuua na kutesa watu wake. Tanzania tusikubali ageuze pori la Burigi malalio yake

    Wewe unatuambia au unatoa taarifa? Sent from my X-TIGI_JOY10 using JamiiForums mobile app
  4. M

    Kakobe: Ninaposema mimi ni Tajiri namaanisha tajiri wa Kiroho

    Tatizo wanaenenda kwa mwili sana... Aliposema wanatembea na hirizi viunoni mbona hawakusema athibitoshe? Useless Sent from my TECNO-Y6 using JamiiForums mobile app
  5. M

    Penzi mubashara (My king Vladmirovich Putin)

    Hakuna malaika mwanamke... Malaika wote ni wanaume.... Malaika hayuko weak kama binadam... Ushauri wangu muache kufananisha vitu vyenye athiri ya dhambi na vitakatifu....
  6. M

    Msaada: Nimetengwa kijamii

    Huwezi kufanyiwa matibabu sahihi kama unaogopa kutaja kiini cha ugonjwa.... Funguka usaidike... Vinginevyo utakufa kisabuni, binafsi sijakuelewaa....
  7. M

    Mume anahitajika

    Eti mwenye kazi inayoeleweka... Wewe una kazi gani? Tangia lini mwanamke una sort wanaume kama jungu... Jipange, wewe hufai kuolewa... Inamaana koote ulikopita hawajakuona... Kizuri chajiuza
  8. M

    Wanawake acheni excuse ya kuumwa/kuugua

    Itakua na wewe ni mmoja wao
  9. M

    Wanawake acheni excuse ya kuumwa/kuugua

    Mungu anawaona.....
  10. M

    Wanawake acheni excuse ya kuumwa/kuugua

    Habari wana JF wenzangu, Mungu awajalie neema ya uzima..... Imenibidi nilete uzi huu humu ndani maana ndio eneo la pekee la ku-free up brain.... Imezoeleka, kwa wanawake hasa walio kwenye mahusiano, pale wanapokwaruzana na mpenziwe huwa wana tabia ya kujifanya wanaumwa... Ukiwa nae karibu...
  11. M

    Wana ndoa kwa wiki mnakutana mara ngapi

    Maandiko yaliposema Adam na Hawa sio na Huyu hayakukosea.. Sasa mama bhoke yamemshinda, akubali kusaidiwa, peke yake hawezi himili mikiki mikiki ya baba bhoke... Hata kama ni mara 100000 provided hakuna anayelalamika, kazi acha ifanywe... Hongera baba bhoke
  12. M

    Ni lazima kuomba kufanya mapenzi kwa mpenzi wako?

    Wa kukamia mechi utawajua tu... Unaiona mara moja kwa mwaka ndio maana unakurupuka...
  13. M

    Ni lazima kuomba kufanya mapenzi kwa mpenzi wako?

    Habari wanajanvi wa humu ndani. Huu uzi nimeamua kuuandika usiku huu wa manane kwa sababu hii kitu inaninyima usingizi. Haipo siku imetokea nimetembelewa na msichana wangu halafu akaniomba dushelele. Kila siku namuanza yeye, halafu hata kama nimemuanza ushirikiano sifuri. Kushika dushelele...
  14. M

    Kuporomoka kwa thamani ya Shilingi: Serikali ya Rais Magufuli inatupeleka wapi?

    Acha kupotosha wananchi.... Watu tuko makin
  15. M

    Wanawake wa JF mnanipa raha

    [emoji23] [emoji23] [emoji23]
  16. M

    Wanawake wa JF mnanipa raha

    Aisifiae mvua.....!
Back
Top Bottom