Hii ndiyo serikali yetu kaka na Hadi sasa hata huku nyumbani issue bado Tata Kila siku maisha ya akiwa magumu sana kiasi watanzania wanakata tamaa ya maisha.
Dawa ya haya yote ni kuufanyia over hole mfumo wote wa utawala NCHINI kwetu ndipo HIZI KERO ndogo ndogo zitakapopunguzwa kama si...
OOOH my God help this man here to know that we Tanzanian needs changes so that to move faster than ever towards the so called Development as we stacked on da way for almost 50 years now.Amen!.
Tunachohitaji sisi walalahoi ni mabadiliko ya katiba ambayo yatatuwezesha kuwashitaki mahakamani wezi na wahujumu uchumi wetu wote bila kujali sura ya mtu wala madaraka aliyonayo.
Mimi namkumbuka kwa haya yafuatayo;
1. Heshima ya mfanyakazi ilirudi.
2. Mkate wa AZAM 350/= shilingi za kitanzania.
3. Nauli ya dala dala kati ya shilingi 100-150 na wanafunzi 50 tu. Na katika hili alikazia kama hamtaki kufanya biashara hii wekeni magari yenu uwani na sisi tutatafuta namna ya...
Unajua tofauti kati ya KIKWETE na PINDA ukiwalinganisha na Magufuli ni hii,
KIKWETE/PINDA hawa jamaa ni wanasiasa kabisaaa na wanasifa za kisiasa kama Unafiki, Uongo, Uzushi na KUjifanya wana busara kidoogo wakati wameshachemka. Lakini huyu MAGUFULI ni mtendaji wa kazi, Mtu anayefuata sheria na...
Huu ni unafiki wa kisiasa hivi ni kweli kuwa viongozi wetu wakuu hawajui ni kwa nini sisi maskini?. Hapana narudia tena hapana tuna wachumi wakutosha na Tafiti zimefanyika nyingi za kutosha na sababu lukuki zimetolewa lakini zimewekwa makabatini tu basi. Hii haiwezekani lazima viongozi hawa...
JAMANI SIONI TATIZO LA CHADEMA ila naomba majibu ya serikali kuhusiana na hoja za CDM kuhusiana na taarifa ya Membe kwenye vyombo vya Habari.
Kazi ya Serikali si kutetea viongozi waongo bali ni kubuni mikakati ya kutetea na kulinda maslahi ya Nchi na watu wake.
Hivi wadau naomba niambiwe japo kwa kunong'onezwa tu. HIVI CCHADEMA ina maadui wangapi?. Na ni nini hofu ya hawa jamaa wa CCM, CUF, NCCR na TLP kwa CDM?.
Mimi naomba nitabiri yaliyotokea kwa TAMBWE HIZA yanaenda kutokea kwa huyu kijana wa CUF si muda mrefu.
Kijana nakushauri umwambie ukweli ule ulioko moyoni mwako ya kwamba sasa wewe ni mme wa mtu na si zaidi ya hivyo!.
Na usipokuwa mkweli katika hili kuna hatari mbele yako huu ni uhusiano hatari zaidi kwani ndoa yako iko mbioni kuparaganyika ndugu yangu.
Wee acha hiyo habari!!!!!!!.
Kwa kufanya hivi najua kabisa siasa haitakuwepo tena kwenye uzalishaji na usambazaji umeme. Ila angalizo tu ni kwamba kampuni hizi zote zisiwe na hawa mafisadi wa KIDUMU kwa kuwa mtoto wa NYOKA NI NYOKA TU watatumaliza hawa.
Kuwa na pesa si dhambi tatizo ni kwamba watuambie ccm nao pesa zao wanapata wapi?.
Hofu inakuja kwa kuwa siasa siku hizi ni pesa na bila pesa hakuna siasa. Je ambaye amegeuza mchezo huu ni ccm ambao wanamiliki serikali au chadema wasio na serikali???.
Ccm ina pesa, ina dora na ina wafadhiri...
Yes, aaah samahani ndiyo!. Unajua Mh. Lipumba ni mchumi makini anapokuja kusema hadharani ili kutoa maoni yake kwa kweli tumuache aseme kile ambacho kina maslahi kwa Taifa bila kujali kama yuko kwenye serikali ya UMOJA WA KITAIFA au lah.
Lipumba ni mtanzania mwenzetu na ni mchumi makini na...
Kwa mwendo huu tuna safari ndeefu sana. Kwani mpaka leo kuna mtanzania ambaye hajui kuwa tuna jua zuri saaaana la kuzalisha umeme au tuna makaa ya mawe mengi saana kule kiwila na kama ni nchi ya pili kwa kuzalisha umeme duniani mbona ni nchi ya kwanza kwa kukaa gizani??.
Porojo hazijengi nchi...
Tafadhali sana JOYCE PAUL kama huna takwimu sahihi huna haki ya kuongea. Tunaomba tupe Idadi ya nchi zilizotoa pesa hizo, Bank iliyotumika kupokea pesa hizo, Siku na tarehe ambazo pesa ziliiingia Nchini ili uchunguzi wa kina ufanyike na tulinde utaifa wetu kwa nguvu zote.
Rejea AHADI ZA...
Ndugu Wakereketwa na Wananchi wenzangu, ni takribani miaka 5 imepita tangu tulipoahidiwa maisha Bora kwa kila Mtanzania ambayo hatuyaoni hadi sasa, na kibaya zaidi hata yule mwanazuoni aliyetunga slogani hii hana Imani tena na kauli mbiu hii japo imeongezwa neno moja tamu saaaaana na chama hiki...
Sasa naona mambbo ambayo waliyataka CDM wananchi wanaanza kuyaelewa, ila watendaji wa Serikali yetu wana uwezo mdogo mno wa kuelewa mambo matokeo yake wanakurupuka na mambo ya hovyo hovyo yasiyo hata na tija yoyote kwa Jamii yetu.
CHADEMA iongeze nguvu zaidi katika maandamano hasa kwenye kanda...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.