Sasa wewe mtoa mada acha kumchafua hakimu.kesi ya mauaji mwenye mamlaka ya kuifuta kabla haijaanza kusikilizwa ni mwanasheria wa serikali na kwa maana ya mahakama ya karagwe ni yule wa bkb.hakimu analetewa nolle prosequi na anafuta kesi tu.kama ungesema ni wakili wa serikali kalamba hela...
kwani mtoto shule ni mwanamke tu anampeleka?wengine hata ada hawajui inalipwaje lakini kitandani wavivu.kikubwa muelewe kuwa mnapozembea mnachangia sisi kutamani kuwa na ka mwanamke ka pembeni kupata penzi ili tukirudi nyumbani tufanye tu kama mfano
mkuu umenipeleka mbali sana.
ONGEZEA
i am taking this girl to hospital,if police come tell him chonya of chilonwa me.mitoto ya siku hizi haina uwezo wa kukumbuka maneno kama haya labda uwaulize beti ya wimbo wa ali kiba,diamond et al
fine is paid immediatel kama huna fine unaenda jela kama convict hadi ulipe fine.labda mahakama isimamishe kifungo muda fulan hadi ulipe fine.fine hua inaendana na kifungo
Kwa ufupi japo sijasoma posts zenu zote lakini ukweli ni kuwa kesi ilipelekwa mahakamani leo kwa ajili ya kusomwa hoja za awali na sio hukumu.Hoja za awali zilisomwa na kesi imeahirishwa mpaka tar 24 nov kwa ajili ya kusikilizwa.Hapa ndipo wavaa suruali fupi walipotaka kufanya fujo mahakamani na...
Ingetosha kusema kipo Goba na sio kuzunguuka mara mbezi mwisho mara matosa mara karibu na shule.kwanza kuna umeme?maji? kiwanja kimepimwa?gari inafika site?hizo ni features nazoona zinatakiwa uelezee
siri kuu...siri kuu,je tz kuna sheria inayohusu siri kuu?inaitweje?au mwaleta yaliyoko america au ulaya kuwa na kwe2 yapo?kwa ufaham wangu mdogo nadhan hakuna sheria inbyohusiana na top secret i stand to b corected
<br />
<br />
ina maana kila unapopiga lazima unywe nyagi?may b unapigia guest.wengine 2nalala nao so asb lazima upate moja so unakuwa huna nyagi au kileo kichwani
kwanini wasianze na barabara za uchochoro?mfano mbezi goba tangi bovu ambayo itaondoa folen za ubungo kwa wale waendao mwenge,tgt,mikochen etc it wl mean that sio lazima atokae kimara aende ubungo.pia lami itoke mbezi mwisho kwenda airpot.wasisingizie halmashauri kwan hela wanayopewa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.