Habari zenu wanajamvi, nimevutiwa na bidhaa za kikuu katika mtandao wa FB. Lakini kinachonipa mashaka hawako tayari wajulikane wako wapi?
Msaada kwa mtu ambaye ameshanunua bidhaa katika App hii, nisije ingia kwenye DECI tena.
Nafuatilia nikipata nitakupa mrejesho maana mm mwenyewe niliziona pale kwenye ufunguzi wa daraja la kigamboni wapiga pesa sasa maswali yako nitaenda kuuliza nikizipata na nitaleta full detail ya hiyo labla kama humu jamvini aliyetumia atusaidie
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.