Hakuna mfanyabiashara yoyote ambaye anafanya biashara ya hasara.
Manji ni mfanyabiashara mkubwa. Hawezi kuamua kusamehe deni la 11bn kwa kisingizio cha kulilipa ndani ya miaka 10, kama haoni return. Swali kwa nini hizo fursa anazo ziona sasa ndani ya yanga asizitumie kwa sasa kama mwenyekiti...
Binafsi nimeyasikiliza kwa umakini mkubwa mahojiano ya leo. Nimeridhishwa nanjinsi Masoud Kipanya alivyokuwa anauliza maswali na kujenga hoja. Pamoja na kwamba sitatoa kwa sasa mtazamo wangu kwa majibu aliyokuwa akiyatoa Prof... Tatizo la leo katika mahojiano yale lilianza tu pale alipoingia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.