Ninauza printer aina ya Lexmark, inayoweza kuprint, scan na copy. Pia inauzwa Monitor flat screen, LCD ambayo ni 17 inches. Zote kwa pamoja ni laki 2 na 30.......Zipo dar
Mawasiliano; 0786-305664
Punguza matumizi yako ya umeme🚫
Jipatie pasi ya kudumu,yenye ubora wake, yenye kutumia umeme mdogo(350W) kulinganisha na pasi tunazotumia kwa sasa majumbani.
Bei kwa rejareja ni 48,000/-
Kwa bei ya jumla ni 40,000/-
Unapata na guarantee ya mwaka mmoja.
Zinapatikana dar.
0786-305664...
Gari aina ya VW POLO linauzwa,
Mwaka 2001
Transmission: Automatic
Petrol, with 1400 cc
Mileage; 89,000kms
Gari lipo Arusha.
Bei ni 5.8million.
Mawasiliano; 0786-305664
Karibuni
Nyumba inapangishwa dodoma Tanzania, ipo Area A, karibu na shule ya Chamwino.
Sifa za nyumba
Vyumba vinne vya kulala,
Sebule
jiko
store
Dinning
iko ndani ya fence na ina geti
ina uwanja wa kutosha na sehem ya kupaki gari zaidi ya 2
KODI ni laki 4 kwa mwezi
Mawasiliano, 0786-305664.
Karibuni
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.