Wa -Tanzania ebu funguka nakuona hali tuliyonayo ni CCM wanaoendelea kutuzamisha, kumbuka wameshika nchi hii tangu Nyerere ang'atuke, ndipo chombo kikaanza kwenda mrama hadi leo. Hebu tubadirishe rubani, tuache kuangalia walio kwenye chama tawala wote ni wachakachuaji tu.
Nyumba ndogo hujitokeza baada ya 1. Uaminifu ktk tendo la ndoa kupungua au kutofanywa kwa ustadi unaotakiwa. 2. Unatokana na uchu wa ngono unaosukumwa na pepo la ngono. 3. Watu wa jinsi hii wanatakiwa waombewe. Si bure.
Nakuomba usimwanike mwenzio bali mwelimishe juu ya vipodozi vya wanawake na wanaume na tofauti zake. Asipoelimika atakuwa ni mpumbavu na wala si mjinga. Asante.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.