Search results

  1. MUGASHA THE HERO

    Ushauri kwa huyu mwenzetu, muda wowote anaweza jiua

    Habari za mchana wana jf Tarehe 19/11/2016, siku ya Jumamosi kulikuwa na mahafali ya chuo kikuu flani (jina linahifadhiwa). Nilifanikiwa kufika chuoni hapo kusherehekea na mdogo wangu. Sherehe ilikuwa nzuri mpaka mwisho, muda wa sherehe ulipokwisha nilimuaga mdogo angu na kuanza kutoka getini...
  2. MUGASHA THE HERO

    Mchezo wa kabaddi

    wanajf nawasalimu Naombeni kujuzwa. huu ni mchezo wa aina gani na unachezwaje? naombeni kwa anayeujua anijuze
  3. MUGASHA THE HERO

    Ufafanuzi kuhusu taarifa za muswada wa kuondoa posho za watumishi wa umma

    Baada ya taarifa kuenea kwamba serikali ina mpango wa kuwasilisha muswada Bungeni utakaowabana watumishi wa umma kwa kupunguza matumizi mbalimbali ya mashirika ya umma ikiwemo kuondoa posho za watumishi wa Umma. Leo November 8 2016 Serikali imetoa tamko lake kupitia akaunti yake rasmi ya...
  4. MUGASHA THE HERO

    Majibu ya Meya Kinondoni kwa wanaohoji uwepo wa Dk. Tulia na Ndalichako

    October 23 2016 Baraza la halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni, Dar es salaam lilitangaza ushindi wa nafasi ya umeya kwa Benjamin Sitta ambaye alipigiwa kura na baadhi ya wajumbe. Lakini moja ya headline zilizochukua nafasi kubwa kuanzia kwanye mitandao ya kijamii hadi magazetini ni uhalali wa...
  5. MUGASHA THE HERO

    Swali wana JF

    Katika kipindi kumekuwa na vijana weng wanaolalamika kuishiwa au kupungukiwa nguvu za kiume kutokana na kupga punyeto. Naomba tuweze kujuzana, hili tatizo linaweza kutibiwa hospital au kwa miziz tu? Na je kama ni hospital, tiba bora itakuwa kweny private hospital au hzi za serikar? Tusaidiane...
  6. MUGASHA THE HERO

    Wabunge wa CCM wameshindwa kuweka miundombinu wilaya ya Mufindi licha ya utajiri mkubwa uliopo

    Hi! jf members Mimi ni mkazi na mzawa wa wilaya ya Mufindi katika mkoa wa Iringa jimbo la Mufindi kusini. Naandika huu uzi kwa masikitiko makubwa sana. Kwanza tambueni kwamba jimbo la Mufindi Kusini ni miongono mwa majimbo tajiri sana, tumebalikiwa kuwa na utajiri ufuatao ambao ni fursa...
  7. MUGASHA THE HERO

    Muswada wa kuweka masharti ya ualimu waja

    Serikali inakamilisha Muswada wa Sheria utakaoweka wazi sifa za walimu wakiwamo wa vyuo vikuu, msingi na sekondari nchini. Hayo yalisemwa jana na Waziri wa Elimu, Sayansi , Teknolojia na Mafunzo ya Ufundi, Profesa Joyce Ndalichako katika kongamano la kujadili hali halisi ya elimu nchini...
  8. MUGASHA THE HERO

    Umeielewaje hii picha?

  9. MUGASHA THE HERO

    Waziri Mkuu Majaliwa atoa wiki moja kwa Afisa Elimu kutafuta walimu wa kidato cha tano na sita

    WAZIRI MKUUkuu Mhe. Kassim Majaliwa ametoa wiki moja kwa Afisa Elimu Mkoa wa Pwani, Yussuph Kipengele kupeleka walimu wa kufundisha masomo ya kidato cha tano na sita katika shule za sekondari za Mkongo na Utete wilayani Rufiji. Ametoa agizo hilo Jumatatu, Septemba 26, 2016 wakati...
  10. MUGASHA THE HERO

    Tumebakiwa na siku 5 kumaliza mwezi..

    Serikari iliwaahidi vijana kwamba mwez wa tisa itatoa ajira, mpaka sasa zimebaki siku 5 kumaliza mwez lakini hakuna tamko lolote toka serikarini linalohusu ajira kwa vijana. Rais wetu mpendwa, kipenzi cha maskini wa hili taifa tajiri, tunakuomba japo utamke neno lolote kuhusu ajira kwa...
  11. MUGASHA THE HERO

    Swari kwenu wadau

    Je kuna madhara yoyote unayoweza kuyapata ukifanya mapenzi (kujamiana) kabla ya kuwa kwenye ndoa? Karibu kwa mjadara
  12. MUGASHA THE HERO

    Tetemeko la Kagera Laibua Tuhuma......UVCCM Waituhumu CHADEMA Kufanya Siasa Potofu, Wataka Uhakiki w

    Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM), Mkoa wa Kagera umelalamikia kitendo kinachofanywa na viongozi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kutumia janga la tetemeko la ardhi mjini hapa kufanya siasa na propaganda potofu. Pia umoja huo umeitaka na kuishauri Serikali kuacha...
  13. MUGASHA THE HERO

    Mwanamke mrefu

    Kuna rafiki angu ni mfupi wa kati lakini amempata binti wa kichaga ambaye anaupendo sana kwake lakini ni mwembamba alafu ni mrefu kidogo dhidi yake. Jambo la kushangaza ni kwamba mwanaume anasema hawez kumuoa mwanamke aliyemzidi urefu hata kama anaupendo wa dhati. SWALI KWENU WADAU. Je ni...
  14. MUGASHA THE HERO

    Tetemeko la Ardhi Kagera: Serikali imeonesha udhaifu mkubwa sana

    Mubelwa Bandio ambaye ni mtangazaj katika ktuo cha redio huko Washington DC amesema "Nyie TBC. Mnataka tuuu tuseme. Nyie si ndio kituo cha TAIFA? Nyie si ndio mnaoendeshwa kwa kodi ya wananchi? Nyie si ndio mnaotakiwa kuhabarisha kinachotokea kule ambako radio za kibiashara haziendi? Si ni...
  15. MUGASHA THE HERO

    Kwa wanaojuwa taratibu za kiserikari na kikatiba nisaidieni

    hivi mafao ya kiongozi mstaafu huwa ni zawadi inayotolewa na mtu au ni haki ya kisheria? Najaribu kuifikilia kaur ya rais wetu kwa rais wa zanzibar.
  16. MUGASHA THE HERO

    Wabunge wataka Rais Magufuli atoe kibali cha ajira kwa walimu wapya ili kukabili uhaba wa walimu

    Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Utawala na Serikali za Mitaa imeomba Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa imuombe Rais atoe kibali cha ajira kwa walimu kukabili uhaba unaoikabili nchi. Mwenyekiti wa kamati hiyo, Jasson Rweikiza alitoa ushauri huo jana mjini Dodoma kwenye kikao kati...
  17. MUGASHA THE HERO

    Mrema Akataa Kurudi CCM, Ataka TLP na CCM Viungane Kuanzisha UKAWA Mpya

    Mwenyekiti wa TLP, Augustino Mrema amesema pamoja na Rais John Magufuli kufanya kazi vizuri, hawezi kurejea CCM na badala yake amependekeza vyama hivyo viwili viunde ushirikiano wao kama ilivyo kwa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa). Waziri huyo wa zamani wa mambo ya ndani, pia amesema kuna...
  18. MUGASHA THE HERO

    Jambo la kushangaza katika magazeti ya leo

    Ukifanya utafiti kwenye magazeti ya leo kwenye ukurasa wa mbele juu ya habari picha kutoka jijini Mwanza kwenye mkutano wa hadhara wa Rais Magufuli kuna jambo limeniacha hoi....Jana waandishi wa habari walikuwepo na walikuwa na vibali vya Ikulu,lakini picha ya mkutano wa Rais iliyotumika na...
  19. MUGASHA THE HERO

    Vichwa vya habari magazeti ya kesho

    Tanzania Daima: Lissu awafundisha sheria mawakili wa serikali. NIPASHE: Kibatala tishio, mawakili wa serikali wamgwaya. MWANANCHI: Nchi yasimama kusikiliza kesi ya Tundu Lissu MTANZANIA: Lissu ni noma, apangua hoja za serikali, hakimu amkubali. Je! Gazeti la UHURU litaandika nini? Wadau...
  20. MUGASHA THE HERO

    DW: MEZA YA DUARA

    MEZA YA DUARA: Idhaa ya Kiswahili ya Sauti ya Ujerumani (DW) kesho Jumamosi tar.30 July 2016, saa 7:10 mchana kwa saa za Afrika Mashariki katika kipindi cha "MEZA YA DUARA", itawaweka mezani vijana watatu kutoka nchini Tanzania ambao ni Malisa Godlisten, Rashid Chilumba na Gwapo Mwakatobe...
Back
Top Bottom