Search results

  1. S

    Naibu waziri nishati na madini on EAT tv now,17 jan 2013

    kaenda na kitabu cha bajeti kabisa... Wabunge wengine, Zitto et al, wanakuwaga wapi wkt hizi bajeti zinapitishwa jamani?
  2. S

    Jinsi ya kuchonga SMS kama ushahidi kwenye kesi mbali na kifaa anachosema Mabere Marando

    Gaspery lasway hii ni ngumu maana itabidi wafanye na forgery ya IMEI ya simu ya mnyika na hapo ndipo penye ugumu maana hiyo kitu huwa recorded automatically na system.
  3. S

    Takukuru kaa mkao wa kula

    kama kulikuwa na ushahidi basi ushapotezwa tayari... Umebaki wa mazingira tu! Jamaa wana kazi ngumu sana!
  4. S

    Majibu ya Kigwangalla: Kwa Nini Sikusaini Hoja ya Mhe. Zitto Zuberi Kabwe (MB)!

    matusi na kashfa zinazotolewa kwa bwn. Kigwangala hazina msingi katika mapenzi ya chama bali katika dhana ya kwamba bwana huyu ameshindwa kusimamia kweli... Maelezo ya bwn kigwangala hayatupi jibu kwamba endapo bunge lingekuwa la ccm tupu bado wabunge wake wangesubiri hadi wakutane nje ya...
  5. S

    Katiba: Tumeanza Na Mguu Mbaya! ( Makala, RAIA MWEMA)

    je, wanachama wa kawaida wa CCM nao hawataki mabadiliko ya katiba kama wanachama wenzao wenye hamu na ndoto za kushikilia madaraka? maana sioni kama kuna juhudi za wazi kutoka kwa wanachama wa CCM katika kuhakikisha kuwa viongozi wao wanafanya maamuzi kwa maslahi ya taifa zima badala ya chama...
  6. S

    Mabomu ya Machozi yatumika kuwasambazi wananchi pamoja na Wanafunzi Mjini Dodoma

    huo ukumbi wa pius msekwa una uwezo mkubwa kiasi gani? hiyo kamati haikuweza kukisia tangu awali kuwa muitikio wa wananchi unaweza kuwa mkubwa na hivyo kuchagua mahali ambapo panaweza kukusanya watu wengi zaidi au walifanya makusudi? inasikitisha sana!
  7. S

    Ushahidi wa LEMA dhidi ya Waziri Mkuu huu hapa

    paulss, hapa kuna jambo kubwa. kwa kuzingatia misingi ya haki pande mbili zinapowasilisha arguments zake mbele ya muamuzi ni kwamba muamuzi ni lazima ajiridhishe kuhusu ukweli wa arguments hizo kabla hajatoa maamuzi. sasa basi kwa msingi huo, ninachokiona hapa ni kwamba kwa kuwa Mh pinda...
  8. S

    Jukwaa la Siasa lisilojaadili Siasa!! Uvivu wa Kufikiri na Hoja za Kufuata Mkumbo!

    kaka yote uliyolalamikia ndio mambo yanayotokea kwenye majukwaa... tofauti ya mitazamo, uelewa na fikra ni kitu cha kawaida katika majukwaa hasa hasa yale ambayo hayana udhibiti wa sifa za kuwa mwanachama. ukiangalia ni kwamba jukwaa la siasa ndio linalotembelewa sana hapa JF kwahiyo lawama...
  9. S

    Wakipinga kuvurugwa Upinzani Bungeni; CHADEMA watoka nje!

    kwani hiyo kanuni ilitungwa na CHADEMA? kwani waliotunga hiyo kanuni wakati wanaweka hilo neno "rasmi" walikuwa wanafikiria kitu gani? huyu kiongozi wa kambi ya upinzani ukimpa baraza kivuli la mawaziri ukamnyima usimamizi wa kamati za kudumu ni sawa na kumkata mikono, so i think CHADEMA wapo na...
  10. S

    Wakipinga kuvurugwa Upinzani Bungeni; CHADEMA watoka nje!

    mwisho wa mapambano ya hoja ni kura so hata utoe hoja nzuri namna gani mwisho wa siku walio wengi watakushinda kwa kura zao.
  11. S

    Wakipinga kuvurugwa Upinzani Bungeni; CHADEMA watoka nje!

    nimegundua kuwa wewe ni mshabiki mzuri ambae nadhani una urafiki na Kibonde (au watu wenye akili kama za kibonde) au unatumia muda mwingi kumsikiliza kibonde bila ya kufanya tafakari ya unachokisikia. sasa naomba nikueleweshe kidogo. umezaliwa umezikuta sheria zinazokuongoza, hukuzitunga wewe...
  12. S

    Bunge kuwaka moto, Kambi Rasmi ya Upinzani Kufutwa?

    gurudumu unatupotosha, kinachobishaniwa ni tafsiri ya maneno haya "KAMBI RASMI YA UPINZANI"
  13. S

    Wasomi wamrushia JK kombola; aache ulalamishi...

    kama hukupiga kura tusikusikie wala kukuona ukilalamika!!
  14. S

    Kikwete: Hata Nyerere alishindwa ingawa tunamsifu sana

    hivi hamna njia ya amani ya kumfanya rais anyekiri kushindwa kazi kumfanya atoke madarakani awapishe wanaoamini kuwa wanaweza?
  15. S

    Kikwete: Hata Nyerere alishindwa ingawa tunamsifu sana

    teh teh teh... hata hao washabiki walishindwa kushangilia jana, nadhani walikuwa wamepigwa na butwaa wakiwa hawaamini wanachokisikia....
  16. S

    Kikwete: Hata Nyerere alishindwa ingawa tunamsifu sana

    faraji, nimekuchekesha kwa lipi hapo kaka? kama unajaribu kuijibu hoja yangu naomba uainishe maeneo unayoyaona kuwa yana mapungufu, hapo ndio utakuwa umenisaidia na kunielimisha siyo kutoa ka sentensi kamoja ambako hakaoneshi msingi wake ni upi. karibu sana kwenye jukwaa kaka.
  17. S

    Kikwete: Hata Nyerere alishindwa ingawa tunamsifu sana

    unapokuwa kiongozi , ajenda yako haiwezi kuwa unataka kufanya vizuri zaidi ya fulani, ajenda yako inapaswa kuwa unataka kufanya vizuri, full stop! unapoanza kufanya mlinganisho kati yako na mtu mwingine unawafanya unaowaongoza wajiulize kama umekata tamaa au umeamua kuweka ukomo katika kiwango...
  18. S

    Kikwete: Hata Nyerere alishindwa ingawa tunamsifu sana

    unapokuwa kiongozi , ajenda yako haiwezi kuwa unataka kufanya vizuri zaidi ya fulani, ajenda yako inapaswa kuwa unataka kufanya vizuri, full stop! unapoanza kufanya mlinganisho kati yako na mtu mwingine unawafanya unaowaongoza wajiulize kama umekata tamaa au umeamua kuweka ukomo katika kiwango...
  19. S

    Kikwete: Hata Nyerere alishindwa ingawa tunamsifu sana

    mafanikio ya kutafutwa kwa microscope siyo ya kujivunia kiihivyo. ukiangalia kisekta utakuta kuwa quantity imeongezeka but quality imeshuka mf. kwenye elimu shule nyingi za sekondari na 50% ya wanafunzi wamefeli, afya: majengo ya vituo vya afya vingi lakini havina miundo mbinu ya kitaalamu ya...
Back
Top Bottom