Lolote linawezekana, nadhani umekariri...
AC Milan haifanyi vizuri sasa, lakini sio kweli kwamba mpira umekwisha, haipo tena..Kama mpira bado unaendelea kuchezwa chances are AC Milan na timu nyingine za Italy zinaweza kutake over, kushikilia soka la vilabu kama vinavyofanya vilabu vya Hispania...
Ni vigumu msanii aliyepotea kwenye game kurejea kwa kishindo kile kile. Hii ipo ata kwenye msemo wa kiingeereza – “Golden Chance Never Comes Twice,” – yaani bahati haijirudii mara mbili.
Hata hivyo, kuna wakati bahati inaweza kijirudia, kama ilivyokuwa kwa Jay Moe – Pesa Madafu, na sasa Jay Moe...
Hahaha.. Naoga kutwa mara tatu na sabuni tatu tofauti. Asubuhi ninapoamka, jioni ninapotoka kazini na baada ya mazoezi. Na kabla cjalala naupooza mwili kwa maji baridiiiii kabla cjaupumzisha.
..
Upo hapo...
Ila najiuliza tu, mapepo gani hayo yanachochea hisia za kingono kwa fukara kama mimi.
Asee kama mapepo yana nguvu kiasi hicho siyachochee nipate ela ajabu nimzidi bakhresa, maela mengi mpaka nshindwe kupita kwenye tundu la sindano
Anyway, ngoja niongeze ibada...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.