Search results

  1. M

    Huenda Mkoa wa Morogoro ukagawanywa na kuwa mikoa miwili; Morogoro na Kilombero

    Viwanda na hata Mashamba yamegawanyika. K1 iko wilaya ya Kilombero na K2 iko wilaya ya Kilosa. Unaposema Kidatu ni upande wa Kilombero wakati Ruaha / Nyamvisi, Kifinga /Kidodi /Ruhembe mpaka Mikumi ni upande wa Kilosa / Morogoro kwa tetesi hii. Sent using Jamii Forums mobile app
  2. M

    Erick Kabendera aachiwa huru baada ya kukiri makosa na kufutiwa shtaka

    People might not know the difference. Sent using Jamii Forums mobile app
  3. M

    Kiranga sio atheist ni non-believer

    Hebu dadavua hilo mkuu kama hutojali. Sent using Jamii Forums mobile app
  4. M

    Naomba msaada kuhusu jini mahaba

    Mkuu Mshana Jr kwa heshima na taadhima njoo huku. Sent using Jamii Forums mobile app
  5. M

    Wajuvi wa mambo mtusaidie: Nini mapungufu ya Mikataba ya Madini?

    Mikataba ni siri. We we uliisoma wapi?
  6. M

    Viongozi mnaotokea mkoa wa Morogoro mnatuangusha!

    Lumbanga ndio kiboko yao. Huyu ni mwenyeji wa Mngeta/Mchombe. Yeye alikuwa anatumia Helikopta kuja Kijijini akitokea Dar kuangalia wazazi wake wakati alikuwa kwenye nafasi nzuri ya kuhimiza utengenezaji wa barabara kutoka Ifakara-Mlimba kwa kiwango cha Lami. Hapo Kijijini hakuna umeme japo Umeme...
  7. M

    Je hata humu watu waandamane?

    Baada ya kujua yote hayo na muendelezo wa utafiti juu ya historia ya TZ ili iandikwe upya; Sheikh unafikiri hiyo kitu itatusaidia nini watanzania ambao tuko kwenye dimbwi la umaskini?.
  8. M

    Maalim Seif: Tunataka kiti cha Zanzibar UN kirudishwe

    Mkuu Iseesa, Kama Maalimu alikuwa na nia ya ZNZ kuwa na Kiti UN (Kwa maana ya kuvunja Muungano) hakuwa na sababu za kumchongea Mzee Jumbe kwa Nyerere wakati ule. Huo ndio Ukinyonga wake na watu huenda mbele zaidi na kusema ni uroho wa madaraka.
  9. M

    CHADEMA mmemuona Regia Mtema na Morogoro yake? Hii ya kilombero mpaka ifakara je? Wabunge mmeona?

    Mkuu hebu acha kuharibu lugha za watu. Ujumbe mzito na caps ni kuonesha msisitizo. RIP dada yetu Regia E. Mtema.
  10. M

    Kibanda ajitoa kamati ya Nchimbi...

    Mkuu tatizo letu hatuna vipao mbele katika maamuzi na mipango yetu ya kila siku kama nchi. Tumejaa ubinafsi mno. Hapa watu wametengeza ulaji na kama ulivyosema tutaingia mkataba na Pakistan watushonee vazi la Kitaifa. Siku unapata Kitambulisho chako cha uraia unatakiwa ununue na vazi la Kitaifa...
  11. M

    Operation Chaos: Lowassa, Chenge, Rostam et al; Don't Quit CCM!

    Mkuu hapa ungelikuwa sahihi kama elimu ya uraia na mabadiliko ya Katiba yamefanyika. Nachelea kusema kuwa bado tuna safari ndefu kuelekea katika ukombozi.
  12. M

    Masha Kiboko!

    Mara nyingi hii hupangwa kabla. Kazi ni kazi hata ukifiwa na huna ndugu wa kulia watu wapo kwa ajili ya kusherehesha majonzi yako kinachotakiwa ni pesa tu kwa ajili ya kazi hiyo.
  13. M

    Kesi ya Saileth Vithlani wa kashfa ya Rada

    Mkuu achana na mambo ya udini. Yote tisa Kumi ni Avator yako inaniacha hoi kweli kweli. Sasa hilo likitu lililochomoza hapo mbele ndio nini?
  14. M

    KARAMAGI kuanzisha kampuni ya mawasiliano, inaitwa 4G MOBILE LIMITED

    Wanatuibia kivipi? Mkuu hebu tujuze na kama inawezekana tuzuie wizi huu.
  15. M

    Kikwete amwambia Magufuli aache Ubabe kwenye bomoa bomoa; Magufuli ataaminika tena?

    Huo ndio ukweli usiopingika ni suala la muda tu. 1. Watu wanapata Hati miliki za ardhi kwa njia za rushwa. 2. Ni lazima uwe na mahali pa kuanzia kukomesha mambo haya. 3. Napenda utendaji wa Magufuri kwa sababu ni mtu anayejaribu kufanya jambo na kusimama katika anachokiamini. 4. Tutaendelea...
  16. M

    Jiji la Dar es Salaam kutopitika kabisa baada ya miaka 5

    Uko sahihi kabisa. Tunahitaji Reli. Tatizo liko kwenye maamuzi na matumizi ya pesa za walipa kodi. Ukiangalia utaona maamuzi mengi na utekelezaji wake katika nchi hii yanafanywa KISIASA. Kwa stahili hii tunasafari ndefu sana kufikia maendeleo.
  17. M

    Dk. Slaa afanyiwa njama kufungwa

    Sasa huu ni udini au chuki binafsi?. Hivi ni vigezo gani vinatumika kuwa na Tittle kubwa kwenye forum - "JF Senior Expert Member" kwa michango kama hii?.
  18. M

    Mapambano police na wananchi ifakara

    Polisi wanatimiza wajibu wao ili kulinda amani. Serikali/Halmashauri zinao wajibu wa kubuni vyanzo vingine vya mapato. Si vizuri kumkandamiza Mwananchi / Mkulima kwenye kila shilingi anayojitafuta katika mazingira ya shida kubwa. Amini nawaambia Kilimo cha mpunga ni kigumu sana hasa kama hutumii...
  19. M

    Nahodha kuwa waziri wa mambo ya nje na ushirikiano wa kimataifa

    Hii yote ni kutafuta legacy. Hapo zamani za kale alikuwepo JK akamweka AM kuwa Spika na alipoondoka akampigia chapuo mwanamama achukue u-Prezidaa. Kazi kweli kweli.
Back
Top Bottom