Mkuu salamander much respect .... Unafanya kazi kuu Sana Katika kuufanya huu uzi uwe Hai......
Aleyn na mourinho changamoto zenu zimekaa katika kujenga Sana much respect pia ...... Tunashukuru Sana...
All in all whites Lazima watue Berlin.... Inyeshe...
Mkuu dkt kilembwe Zzk si ashasema Ukawa ni wasaka tonge??? Kwa akili ya kawaida tu ulitegemea Nani ampokee??? Wakati fulani kwenye maisha unazi na ufuasi uwekwe pembeni.... Nadhani kwa kuwa yeye Ana nguvu na aliweza kuiangusha serikali mara 2(though sijui ni...
Nadhani profesa Jay alistahili heshima ya pekee si sababu ya chadema ila ni katika wasanii waliojaribu kujenga picha chanya kwenye jamii.... Ni bahati mbaya kizazi hiki chetu kimetawaliwa na unafiki wa kutokubali ukweli... Ila jamaa kajitahidi Sana..... Mungu...
yawezekana siijui siasa kama wengine humu...ila hakuna TUSI kubwa kama kumfananisha mwigulu na sokoine moringe..... ni bahati mbaya sana hii nchi haitambui mchango wa watu wenye mtazamo tofauti...ila pamoja na yote mwigulu anahitaji miaka 400...kukaribia level za sokoine
Hapana ishu ya zitto itakaa muda mrefu sana.... kumbuka mgogoro wa zito na chadema una nguvu kubwa iliyo nyuma ambayo hatuijui...
ishu ya zitto ndo inatumika kupotezea yote yanayoendelea.... kuna ishu ya wachina na ndovu hakuna anaeiwaza....kuna ishu ya umeme hakuna anaeiongelea.... kuna ishu...
Muda si mrefu hapa karibu na kibaigwa gari la mohamedi trans likielekea dar lapata ajali baada ya kugongana na semitrela iliyokuwa inaelekea dodoma....mpaka sasa hakuna majeruhi kwenye basi wala aliepoteza maisha ingawa kichwa cha semitrela kimeharibika na dereva kaumia kidogo.....source mimi...
Kikwete ana mapungufu yake ila wewe mleta mada nadhani hauna nia njema....alivaa koti limeandikwa azam embe na si sembe........ Lakini pia wafanyakazi wanavaa makoti kulingana na product zinazozalishwa kiwandani...... Mnaiangusha heshima ya jamii forum kwa kukurupuka.......
juliana shonza lini mtakuja arusha? Tumemis sana harakati zenu zisizo na matunda....nikiziangalia post zako huwa nakosa imani na chadema..........iliwezaje kukuweka mtu mweupe kichwani kama wewe? Kila nikifikiria wewe ulikuwa kiongozi chadema huwa natamani kurudisha kadi
nakupa big like kiongozi......huyo ndo the heavyweight Mc..... Kila binadamu ana mapungufu ila prof ni mfano wa kuigwa......ni miaka mingi sasa tumesikia watu wakimsema ila hautamsikia jamaa akijibu kwenye media.... Hii inamfanya jamaa awe tofauti na wengine.....naungana nawe kumpa big up...
Godbless Lema mwanasiasa pekee ambaye wengine wanafanya siasa za mitandaoni yeye anakwenda mtaa kwa mtaa..... Wapo vijana waliolipwa kumchafua ila hachafuliki... Na hata wanaompinga hapa hawawezi kuwa na uthubutu alionao lema kwa kizazi hiki ni ngumu sana kuelewa....kuna wakati nilisema Lema...
Naamini jize anaingia humu jf..... Watu tulingojea hili tukio kwa muda mrefu.........kuingia chama cha upinzani kwa siasa za tanzania inahitaji ujasiri mkubwa sana...... Ulichokifanya leo kimekamilisha heshima uliyoijenga kwa miaka mingi..... Big up joseph haule...
Wamachinga wa iringa ndo tumempa msigwa kura sio wewe........ Anawajibika kwetu sisi sio wewe..... Anatakiwa atujibu sisi na sio wewe.....hata hivo hongera.....unajitahidi kushiriki thread nyingi...
Eti Nape anaweza kujenga hoja na kuzitetea ha ha ha ha ha ha ha.....eti dk slaa kamkimbia nape.. Dah Mungu avunje kambi tu dunia hii imetuzidi nguvu......
Wapo watu wanalipwa hapa jF watakuja na maneno yao ya kanga....... Ila Lema ndo kizazi cha mwisho ambacho kimebakia kwa hapa africa...... Wapo wanaomuita mkorofi ila hawawezi kuongea hata robo ya kile anachokiongea lema.......Lema na level nyingine...... Wamwite jina lolote lile....ila huyu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.