Jiangalie ww na uache fikra za ngono,kwani hata chochote kirushwapo juu hufikia mahala kinaanza kurejea chini'turning point' sasa unataka yasimame hadi wapi na lini!
Dada juhudi binafsi pia zahitajika huwezi kupiga mzigo kwa kurukia sehemu husika moja kwa moja,mshauriane ww na jamaa yako kabla ya kuingia mzigoni michezo ifanyike kwa sana,yaaani mautundu na maujanja ili kuundaa uhusika,lakini pia hili la maombi kwa muumba bado limeshika hatamu!
Jamani mawazo yenu nyote yataheshimiwa lakini napenda kusema kwamba tuweke mbele maslahi ya taifa letu kwanza kisha itikadi zifuate,kwa sasa tunahitaji tanzania yenye muono mpya na tofauti na si uzoefu uliopitwa na wakati,tukisema tujenge au tunajenga basi iwe hivyo na kwa pamoja na si wengine...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.