Dr. John Pombe Magufuli ni kama Dr. Nkwame Nkurumah kiutendaji.... Wewe unasemaje?
Kama alivyo JPM Dr.Nkwame alikuwa mwalimu msomi sana na alipata PhD yake kutoka University of Pennslvania sasa UPenn (One of the best Universities in the World). Kama alivyo JPM Uzalendo wa Nkurumah ulikuwa...
Nianze kwa historia kidogo, mwaka 2007 nilimpoteza kakangu mkubwa na mke wake wote kwa pamoja kwenye ajali ya barabarani. Kwenye ndoa yao walifanikiwa kuwa na watoto wawili ambao walichukuliwa na mama yetu mzazi kuwalea. Leo hawa watoto mmoja darasa la saba mwingine darasa la Tano.
Xmas...
Ninaomba Watanzania wenzangu mniunge Mkono kwa hiyo:
Pamoja na kukata Rufaa, Wakili nakuomba ufungue concurrent kesi ya kuomba Mahakama kutengua Sheria ya Utumishi wa Wa Umma mwaka 2002 kwa sababu zifuatazo:
1. Sheria inawanyima Watanzania uhuru wao wa Kikatiba ya kufanya kazi na kulipa kodi...
Nimesoma kwenye vyombo vya habari kuwa Mkuu wa Chuo cha Uhasibu Arusha alishitakiwa kwa kosa la kuajiri darasa la saba? Really? Kazi za ufagizi na usaidi kwenye taasisi zina tatizo gani kupewa la saba?
Halafu kesi immeendeshwa miaka Sita. Mmeshindwa kuwakata wezi wa Tanzanite, au mmeshindwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.