Search results

  1. R

    Nani kuivunja rekodi ya kiuchumi ya Hayati Rais John Pombe Magufuli?

    Andiko lote limejaa sifa kwa mwendazake, unaonekana ni mnazi wa mwendazake. Btw aliondoa sera ya ukweli na uwazi pia kuweka sheria za takwimu mpya ili mambo yake ayafanyie gizani kama kukuzia uchumi gizani na kupika takwimu ili aonekane shujaa lakini ni yeye aliyevuruga economic system ya nchi...
  2. R

    Rais Samia: Hatutazuia Maandamano na Mikutano ya Hadhara

    Maandamano ya wananchi yamebeba ujumbe ambao ni kero, nia yake ni kuhitaji utatuzi. Serikali inaona maandamano ni ya Chadema na sio ya wananchi hivyo haioni kuwajibika kwa hayo wananchi wanayoandamania. Wananchi wakichoka watatafuta namna nyingine ya kutatuliwa matatizo yao wacha awaenjoy lakini...
  3. R

    Mwigulu, Makamba na Mbarawa hawahusiki na ufisadi

    Kwaiyo ripoti ya CAG ndio inayowasingizia hao jamaa kuhusika na ufisadi?
  4. R

    Kama mwanamke anakulalamikia haumjali kisa haumtumii ujumbe au kumpigia simu kila saa, mwambie hivi...

    Wanakera sana hawa viumbe kila mara anataka apigiwe simu au uchat nae utadhani huna majukumu mengine bhana.
  5. R

    What if?!

    Sio kila miracle hufanywa kwa uwezo wa Mungu, hata shetani/ibilisi nae hufanya maajabu Sent from my SM-A605F using JamiiForums mobile app
  6. R

    What if?!

    Hili jambo la Majaliwa kufungua mlango kwa kuupiga na kasia na mhudumu wa ndege naye kuufungua mlango huo kutokea ndani kwa mujibu wa maelezo yao wahusika haikitokea kwa pamoja ndio maana kumekuwa na hoja tofauti zenye kukinzana. Waliokuwa ndani ya ndege walisema mlango ulipofunguliwa walitoka...
  7. R

    Eng. Hersi, Senzo na Kocha Nabi tunaomba mtuachie klabu yetu!

    We kolo kaa kwa kutulia boya wewe, tuachie Yanga yetu we ganga ya kwako huko Angola hujajua hata unatokaje. Sent from my SM-A605F using JamiiForums mobile app
  8. R

    Bajeti yako kwa siku ni shilingi ngapi kwa wewe mwenye familia?

    Kwa hali ilivyo sasa hivi bajeti haieleweki kabisa inabadilika badilika sana kwa sababu hata kipato nacho kinabadilika badilika labda nyie wenzetu mnaolipwa mishahara ila kina sisi waganga njaa ni hatari zaidi siku unapokuwa huna kakibarua aisee
  9. R

    Yanga wanakosa DNA ya michuano ya kimataifa

    Tumia akili yako vizuri, Yanga kaingia huko kwa nafasi yake kama bingwa wa ligi ya nyumbani na wala hajabebwa na hao makolo.
  10. R

    Waziri wa Elimu: Elimu ya juu inaporomoka, viwango vya Uprofesa vimeshuka

    Kwa kweli tunapoangalia ubora wa elimu yetu upo chini sana kwa ngazi zote. Yaan unakuta mtu amesoma na mavyeti chungu mzima lakini hana maarifa yoyote. Leo hii watu wanafikia ngazi ya digrii wakiwa wengi sana kama waliohamishwa kutoka shule ya msingi kwenda sekondari ya kata bila kujali vigezo...
  11. R

    Waziri Makamba avunja Kitengo cha Habari na Mawasiliano TANESCO kwa tuhuma za kushindwa kulisemea Shirika

    Hivi kweli waziri Makamba umeshindwa kuelewa inshu rahisi tu kuwa wananchi wanataka umeme na sio taarifa za tanesco? Sasa idara ya habari na tatizo la kukatika umeme ndio wenye kutatua tatizo? No, hebu kajitafakari upya labda ulikuwa na msongo wa mawazo wakati unatoa maamuzi hayo.
  12. R

    Nawaamini CHADEMA individuals kuliko kama taasisi

    Zingine sio hoja ni viroja, ungekuwa na hoja ungezifanyia utafiti kwanza hoja zako kabla ya kuja na andiko hili.
  13. R

    Nawaamini CHADEMA individuals kuliko kama taasisi

    Wewe una mahaba na CCM bila kujijua ndugu.
  14. R

    Imani ya Bunge haiwezi kujengwa chini ya Tulia Ackson

    I have nothing to do with that shit ila hata wewe huna hoja za msingi dhidi ya hili nachelea kusema hata wewe huna credibility za kumnanga huyo tulia maana bandiko lako halina mantiki.
  15. R

    Imani ya Bunge haiwezi kujengwa chini ya Tulia Ackson

    Japokuwa simkubali Tulia lakini huu ni ujinga tu ulioandika yaani kifupi ni "nonsense"
  16. R

    Waziri Waitara akagua tiketi za mabasi ya mkoani Magufuli Bus Terminal na kwenda hadi Nyegezi Mwanza, aamuru waliolanguliwa warejeshewe fedha zao!

    Basi NW kwa mamlaka yake alipaswa aanze na hao Latra kwanza ili nao wakafanye majukumu yao. Shida hapa hawa ni wanasiasa na wao wanataka waonekane kwa watu wakiamn kuwa ndio wataonekana wanafanya kazi. Si kweli, waziri kazi yake ni kusimamia wizara amabayo inazo taasisi na idara zinazofanya kazi...
  17. R

    Utaratibu wa wafiwa kuwalisha waombolezaji wengine umerasimishwa Tanzania?

    Kwa kweli ustaarabu wetu ni mgumu sana jamii zetu za kitanzania. Mtu kafiwa bila shaka katumia gharama nyingi tu kuuguza pia bado ana kibarua kigumu tu katika kusitiri marehemu. Kiubinadamu nzengo ilipaswa kuwa na jukumu la kufariji na kushiriki mazishi kwa mwenzao huyo. Msiba ni jambo gumu...
Back
Top Bottom