Search results

  1. S

    Video: Ukisikiliza anachosema huyu RC wa Dodoma utagundua Paul Makonda yuko sahihi kuwananga watumishi wa umma

    Hongera mkuuu wa mkoa Dodoma. Umeonyesha leadership. Licha ya makosa kuna kurekebishana bila kudhalilishana mbele ya watu. Matatizo yamesemwa mbele ya watu na hakuna aliyekuwa embarrassed. Then inaweza kufuata face to face kwa anayehusika kujua chanzo cha mapungufu ili kumsaidia kama anahitaji...
  2. S

    Internship (Manamba) mashambani Israel?

    Kwa uwezo wa fikra hasi kwenye wachangiaji wengi humu sidhani kama wanajua degree ya kilimo/ mifugo inahusika na nini na hata kama SUGECO wakitoa maelezo hawawezi kuwaelewa.. Degree ya kilimo ni zaidi ya cheti na ni zaidi ya class ya degree yako. Lazima ujue a-z ya operations za kilimo/ufugaji...
  3. S

    Profesa Nonga: Vifaranga 62,730 kutoka Ubelgiji vilivyokamatwa JNIA vyote vimefia Airport

    Inasikitisha sana kwa vifaranga kufungiwa ndani kwa siku zote hizo hadi vikafa huku "wataalam" wakijua kuwa hawa ni viumbe hai tena dhaifu ambao umri wao ni chini ya siku 5. Sasa hapo sijui kama walikuwa wamejifungia ofisini kwao huku wamewasha AC wakiitisha makaratasi yaende ofisini ili...
  4. S

    Serikali ya CCM mmeamua kutusaliti wananchi, Tunaenda kukumbwa na njaa kubwa hali ni mbaya

    Mnawasemea Wakulima kama watu ambao hawajui kitu. Mimi nafanya biashara ya kununua mahindi direct kwa wakulima kwa matumizi ya ndani. na tunapambana na Wakenya. Bei gunia sh 85,0000 hadi 95,000 analipwa mkulima bila Dalali. Miaka ya nyuma angekuwa analamba 40,000. Acha wapone majeraha ya huko...
  5. S

    Halima Mdee: Sisi ni wawakilishi wa chama na hatukuja Bungeni kwa bahati. Nafasi zetu za Ubunge hazipo hatarini hata kiduchu

    Huu mchezo wa hawa wabunge unasababisha watu kudemka mitandaoni. Wanakuwa declared na Baraza kuu kuwa wamefukuzwa na kama sikosei na mkutano mkuu baada ya kuchakata rufaa zao. Ingawa mimi si mwana sheria ula nijuavyo (naweza kusahihishwa) utaratibu ni kama wamekata rufaa wanaendelea kuwa wabunge...
  6. S

    Meneja: Uwanja wa ndege Chato unahudumia abiria 250 kwa mwezi

    Amesema mara tatu kwa wiki, soma vizuri yaani mara 12 kwa mwezi
  7. S

    Yaliyojiri Mahakama Kuu Kesi ya Mbowe na Wenzake: Shahidi Afred Kapala wa tiGO atoa Ushahidi, Kesi kuendelea, Nov 03, 2021

    Hii ilianzia kwenye kesi ndogo ya nyuma. Wao wanajikita kwenye maswali mepesi mambo makubwa yanawapita. Jaji aliwashangaa kwa jinsi walivyo ruhusu ushahidi kupokelewa wakati walikuwa na nafasi ya kuupinga na hii ilikuwa obvious hata kwa asiye mwanasheria. Sina uhakika wa maswali ya kunywa mo...
  8. S

    RC Makalla awatuliza wananchi kiluvya waliopanga kufunga barabara leo

    Kulikuwa na thread huko nyuma na nilichangia kama ifuatavyo. Nakuunga mkono “ Kama tumeisha amua kwenda na teknolojia ya barabara za kisasa tusiende nusunusu. Funga camera kwenye kila zebra/50kph limit na weka control center moja kila upande ili police waweze...
  9. S

    Barabara ya Kimara vs kibaha kuwekwa matuta kwenye vivuko vya watu karibuni

    Kama tumeisha amua kwenda na teknolojia ya barabara za kisasa tusiende nusunusu. Funga camera kwenye kila zebra/50kph limit na weka control center moja kila upande ili police waweze kuona magari yote yanayovunja sheria kwa kutoheshimu vivuko. Protect hizo picha zisifutwe kuzuia rushwa. Ndani ya...
  10. S

    #COVID19 Zanzibar: Kila Mzanzibar anayetaka Chanjo ya COVID-19 atapata, hakuna mgeni ataingia bila cheti cha Vipimo vya Corona

    Pole ndugu. Basi pata nafasi u google katiba ya Zanzibar kwa jibu la uhakika.
  11. S

    TANZIA Katibu Tawala Arusha, Bw. Richard Kwitega afariki Dunia

    Apumzike kwa Amani. Ila madereva wa serikali na hizo overtake zenu hapana. Sasa ukichanganya na overtake za mabasi inakuwa si hali. Hata kama mnaendesha magari ya serikali (au hata mabasi) jueni ajali haichagui uimara wa gari au status ya gari-nashangaa hata hamuofii maisha yenu wenyewe mnovyo...
  12. S

    On Corona Virus: Magufuli is the Worlds luckiest leader

    Nadhani hayo maventilatora ndo yanawamaliza wazungu. Nyungu na tangawizi/limau vimesaidia sana. Si kwamba ugonjwa haukuwepo au haupo bali watu wanaugua na wanapona. Muitikio wa nyungu na hizo chai ulikuwa mkubwa mno ngazi ya familia. Na Mungu akatuponya. Hivi hayo masuti ya kujikinga na...
  13. S

    Mmiliki wa Shule za Tusiime jitafakari na uwalipe wafanyakazi stahiki zao

    Hapa ni kukaa chini muajiri/muajiriwa na kuja na win win situation. Mwalimu anadai alipwe mshahara wakati hajaingia darasani kufundisha na mwajiri anadai hana pesa ya kumlipa kwa sababu chanzo chake cha mapato kimesimama. Wote wapo sahihi. Mwalimu anafikiri mwajiri ana pesa nyingi za ziada...
  14. S

    Limeshafika ghorofa ya 13 na linaendelea, lakini nguzo kama njiti za kiberiti

    Likianguka si ajabu ao unaowataja wasiwe miongoni mwa wahanga.
  15. S

    Maybe our Speaker never expected this

    Siju kwanini huu wimbo haukufanywa kuwa WIMBO WA TAIFA. Una hisia za ajabu na kila mahali nilipobahatika kuona unapigwa ugenini huwa sikosi watanzania wanaotokwa na machozi. Nina imani alikuwa ulimgusa akareact hivyo
  16. S

    Wizara ya viwanda na biashara kuboresha mazingira ya uwekezaji katika sekta ya viwanda nchini

    Tangu serikali itangaze kuondoa kitengo cha foods toka TFDA hakuna usajili unao endelea. Tukienda TFDA tunaambiwa jukumu limehamia TBS. tukienda TBS wanasema wanasubiri mwongozo wa wizara. Kwa hiyo mambo yamesimama . Hakuna wa kusajili viwanda vya vyakula na htujui hadi lini? Fikiria kiwanda...
  17. S

    Nimeagiza bidhaa nje baada ya kwenda Posta wananiambia HAUPO!

    Posta kama wanataka kuwin confidence ya wateja lazima wabadilike. Waache kufanya kazi kizamani. Mtu unaagiza mzigo tracking inaonyesha upo posta, ila wanakuambia njoo kesho. Mimi wangu hadi niliprint tracking report nikawaonyesha kuwa wanao mzigo wangu. Ilichukua wiki moja kuupata. Hii si sahihi...
  18. S

    Madereva wa mabasi ya Khandahar yanayofanya safari mikoa ya Singinda, Manyara na Arusha wako very rough

    Kwa kweli watu hadi mnakera kwa kujifanya wajuaji na kwa mtindo huu ndo maana ajali haziishi. Huyo dreva wa basi hana ruhusa kuovertake kwenye solid lines hata kama njia ni tatu. Hiyo mistali miwili inakataza katakata asiovertake na sababu ni kuwa anayekuja mbele yake karuhusiwa kutumia njia ya...
  19. S

    Mradi wangu umefeli, hivyo hii nadharia ni sahihi au tuipuuze?

    Shida hapo ilikuwani 1) Uzoefu mdogo wa kutunza vifaranga waliototolewa. Niliwahi kufanya huo mradi kwa kuanza na kuku 7 na wilifika hadi 800 ndani ya mwaka mmoja. Ila batch ya kwanza ya vifaranga ilikufa kalibu yote ndo nilajifunza makosa. Baada ya kurekebisha makosa kazi ilikuwa nyepesi. 2...
  20. S

    INAWEZEKANA: Jinsi nilivyotengeneza milion 30 ndani ya miezi mitatu.

    Kwanza uandishi wako . Degree imeshindwa kukufanya uandike neno “mpaka” vizuri hadi uandike “mbaka” ? Tena si mara moja. Pili mtiririko wa mafanikio yako ni kama mtu aliyekaa chini na anabuni afanye nini atoke. Ni vizuri kushare mawazo yako ila si vizuri kutaka tuamini kuwa ndo uhalisia. Your...
Back
Top Bottom