Nothing is so complicated and more confusing as when the time of looking for a wife material comes especially in this century where every woman you see is cute and beautiful. To consider that here we provide to you some characters that will assist you in this now days hard time of finding who...
Nilivamiwa na majambazi nyumbani kwangu wakiwa na silaha amini usiamini baada ya kuvunja mlango na kuingia ndani waliganda kama dakika tatu bila kuzungumza wala kufanya kitendo chochote kisha wakatoka mbio bila kufukuzwa na mtu lol hakika Mungu yupoo!
Wachawi wanateteana hapa,kama hawapendi mambo yao kuonekana ni bora waache uchawi wao wa kufanya watu misukule vinginevyo watazidi kuumbuka na nyie mnaotetea ndio mnaumbuka hivoo!!
Siddhani kama naweza kusupport serikali ya ccm kwani kopo la chooni huwezi kunywea maji wala juice hata uliosheje! hivo magufuli hawezi kuibadilisha ccm dawa yake ni kuing'oa tu!
Hata Mimi Nashangaa Kwanin Hakusema Mahakamani, Na Akisema Sasa Atapaswa Kuchukuliwa Hatua Za Kisheria Maana Lazima Mhusika Ni Yeye Tu,acha Ccm Wamdanganye.
Mimi siku zote nasema Tanzania waandishi wa habari ni wachache sana,wengi wao si waandishi wa habari bali ni wafanyakazi wa habari tu,lazima tutambue tofauti hiyo.Mfanyakazi wa habari yeye anachojali ni bora kazi na sio kazi bora,tofauti na mwandishi wa habari yeye anatamani siku zote habari...
Ayii! Hii Nchi Bana Tunaongozwa Na Vipofu Kwao Giza Ndio Maisha! Hivi Ingekuwa Vipi Vyombo Vya Usafiri Taa Zao Zingetegemea Umeme Wa Tanesco Au Labda Tungekuwa Na Treni Za Umeme? Si Ingekuwa Balaa!
Jamani hili limekaaje,huyu mheshimiwa anasema kero haiondoki bila damu kumwagika,haiwezi ondoka kwa karatasi.mawazo haya aliyochangia kwenye bunge la katiba anatufundisha nini sisi wananchi ambao serikali mbili pamoja na hili lichama la ccm ni kero kubwa inayotakiwa kung'olewa wala sio kuondolewa!
Kabla na baada ya kupata uhuru mpaka mwanzoni mwa miaka ya tisini watanzania tuliheshimika sana kitaifa na hata kimataifa,ilikuwa ni jambo jema kujitambulisha kama mtanzania unapokutana na iwe mgeni kutoka afrika ama ulaya na asia,ilikuwwa ni heshima kubwa kipindi hicho,wahenga walisema mgema...
Kama unataka kujua historia ya Dr. nenda TBC ukaulize kwani wamewahi kufanya mahojiano na baba mzazi wa Dr. Slaa,kipindi cha kampeni 2010,waliokutuma hawana kumbukumbu,wambie ukiwa mwongo usiwe msahaulifu! kwa faida yako hata jina SLAA halitamkwi hivyo kiiraq ni S'AA pole kwa njaa zako!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.