The Great inajaza kuanzia saa 6 usiku mpaka kule bondeni
Kitambaa saa 2 ishajaza
Kama una akili timamu bora ukaenda The Great kuliko kitambaa cheupe sababu mambo yaliyopo kitambaa cheupe hata the great yapo isipokua mashoga tu
Unatukana ili iweje .. binafsi nilikuwa kwenye io meli siku io
Katukane ndugu zako sio kila kitu ulete dharau bana kama unaona huwezi kuandika bila kutukana watu pita katukane boda boda wa mtaani kwako
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.