Mungu akurehemu rafiki yangu mpendwa... Wote tupo njia hoyo kaka Mohamedi Mtoi. Hatujui nani anafuata. Maisha haya ni mafupi, na wote tupo hapa ni mavuno ya Mungu wetu.
Nazidi kumwomba Mungu aipe familia nguvu na ustahimilivu wakati huu mgumu wa majonzi.
Kama imevuja panda juu ukazibe mrudi wazimu wewee? Mtatafutana mchawi msipate, tumieni hadi makamba au mfufueni Nyerere mtakuta kabadilika wala si mwana ccm.
Wape facts mkuu kwamba we don't give a shit kwa swala la asset na liability, hiyo kakaaeni na Slaa na upumbavu wenu swala mezani ni CCM kuwa chama cha upinzani that's all dudes!
Najua Malimao ni dawa ya watu kama wewe Bgwajima alishasema myatumie kupunguza maradhi mliyonayo.
Utateseka sana moyoni usikiapo "Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania Ndugu Edward Ngoyai Lowassa".....
Ama kwa hakika hata wake kwa waume swala la penzini mioyoni ni Lowassa hata kwene ndoto za usiku ni Lowassa.!! Ukigombana na mwenzi wako anakwambia " Lowassa jamani nisamehee"" hata chai asubuhi unasema " nimiminie Lowassa"
Tunamtoa Magufuli na li ccm lake kwa kura sio kwa mtutu wa bunduki. Na atakaezuia kura zetu kwa kufanya chakachuo na kutumia nguvu ya dola the hague inamsubiri na wapo hapa nchini wanaangalia.
Akashighulikie ndoa yake kwanza aache kukaa na mchumba muda wote huu. Anahangaika na ccm wakati serikali hiyo ilimnyima kufunga ndoa na mke wa mtu. Ana shida nyingi sana huyu Slaa anahitaji councilor
Hivi kweli umeacha kufanya shughuli zako ukakaa muda wote huo kuandika huu UTUMBO WA MBWAA..!! Kweli ww jin lako la ubatizo ulitakiwa uitwe IDIOT au labda una ugonjw wa Idiotizimaizationalisim kwenye Medulla yako...!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.