Wewe ndio unayo?
Sheikh tupo nawe katika duaa zetu.
Hakuna mchaMungu akose mitihani.
Pepo ni ngumu....
Wafuasi wa paulo mbona wanamtukuza wakitaraji pepo...sijui pepo itatolewa na nan?
haya ndio matatizo ya kuzaliwa katika familiya za kichovu...kisha uliposoma na watoto familiya zao zinajimudu...ukapata marafiki wakikukaribisha kwao...unakula na kijuchangaya nao...wakipelekwa beach...na sehem za raha...ukijihisi unafaa kuwa kama wao.
Sasa unakuja JF kuwatafuta wenye nazo...
nilijoin...baada ya rafiki yang mpendwa huko bongo alikponielekeza...pia nilipenda forums za JF na michango inayochangiwa.
Naipenda sana vile napata taarifa tele za huko Bongo...na sehem zote Dunian.
Sie waislam hatuna kuitana Hayati...hayati ni uzima.
Tunaitana Marhuum...ina maana mtu mwenye kurehemewa...anaehitaji kuombewa na kuhurumiwa zaid...simwajua hatujui...kama ni mwema anaraha ndani ya kabr...au anpata adhab ndan ya kabr.
Hayo majina mengine yanaitwa kutokana na mazingira ya...
Huyo ameizindua jamii...kweli yupo mdogo wangu alitembelea mikoa ya Bongo...alisema vijana wengi huamin na kujisifia waisikiapo Hiyo station wajiona ndio wajanja kuliko wengine ...inapelekea wengine waige wenzao.
Kweli haina kuelimisha zaid?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.