Nipeni kazi niwafungie Sound proof kwa kumbi, Lounge ama Night Club....!
Kama Bar yako ni open, jifunze kufungulia mziki kwa sauti ndogo.
Acheni kulalamika!
Kama wewe hujawahi kushukudia Madudu ya mwanamke wako, Basi anakuheshimu na Ujinga wake anafanyia Mbali!
Uwe Tajiri umpe mwanamke kila kitu, umpelekee Moto kila siku mpaka K ipate moto, atakusaliti kwa Dereva Bodaboda ambaye huwa anamleteaga Pizza nyumbani.
Ndo ipo hivyo, Nunua materials yote, mfano nenda kwa kampuni ya Ujenzi top Company watakwambia watakujengea lets say Msingi wa nyumba yako kwa 5 millions.
Normally Company watakwambia watajenga kwa 3 millions, ukienda kwa mafundi wa Mtaani watakujengea hata kwa 2 millions.
Kuhusu Ujenzi ni...
Kama ni Watanzania na mnaweza kujikusanya hata watu 5!
Mnaweza kupanda Mlima kwa Kiasi cha 3 millions kwa Wote 5!
Gharama za Kupanda Mlima ni kama gharama za Ujenzi.
Kampuni A inaweza kukucharge 100 millions kukujengea Nyumba bora.
Kampuni B inaweza kukucharge 60,000 millions kukujengea the...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.