Taarifa Kutoka Ofisi ya Mbunge wa Ukonga Mh. Waitara Mwita Mb.
Mbunge wa Ukonga ambaye pia ni Mwenyekiti wa mfuko wa Jimbo la Ukonga Mh. Waitara Mwita mwezi uliopita alifanya ziara katika maeneo mbalimbali ya jimbo la Ukonga kujionea maendeleo ya Mirada mbalimbali yenye jumla ya shilingi...
Leo Mjini Dodoma Mbunge wa Ukonga Mh, Waitara amechaguliwa kuwa Mwenyekiti wa Wabunge wa Chadema Kanda ya Pwani yenye Mikoa ya kichama ya Dar es Salaam na Pwani.
Katika Kikao hicho pia Mbunge wa Viti Maalum Mh. Lucy Magereli amechaguliwa kuwa Katibu wa Wabunge wa Chadema.
Kabla ya Uchaguzi...
MBUNGE WA UKONGA MH. MWITA M. WAITARA ATEKELEZA AHADI YAKE YA GENERETA LA TSH. 1MILIONI KWA SHULE YA MSINGI NZASA II KATA YA ZINGIZIWA:
Katika kutekeleza ahadi aliyoitoa mwaka jana kwenye ziara ya kutembelea shule za Msingi katika Jimbo la Ukonga, Mbunge Wa Ukonga
Mh. Mwita Waitara (Mb)...
✅Leo tarehe 02.02.2016 ni Siku ya kusikilizwa kwa shauri no. 49 ya mwaka 2016, lililofunguliwa Mahakama kuu ya Tanzania Kitengo cha Ardhi na wakazi wa Kata za Ukonga, Gongolamboto na Pugu waliowekewewa X kwenye nyumba zao ili zibomolewe. Kama mnavyokumbuka shauri hili lilifunguliwa kwa msaada wa...
Mh. Waitara (Mb) jioni hii akichangia hoja ya waziri wa fedha na mipango bungeni amejikita katika maeneo mawili, Elimu na Utawala bora.
Kwanza amewaambia CCM kuwa ni waongo na pia ni waoga. Amewaambia kuwa ili mipango wanayoizungumza itekelezeke ni lazima wang'oke madarakani kwakuwa wamechoka...
Mahakama Kuu ya Tanzania leo imesikiliza Shauri la kupingwa kwa Ushindi wa Mbunge wa Ukonga Mh. Waitara Mwita Mwikwabe, katika shauri hilo upanda wa wajibu maombi uliwakilisha na Wakili Msomi Dr. Onesmo Kyauke anayemtetea mh. Waitara, Wakili kutoka Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali na...
ZIARA YA MBUNGE WA UKONGA MH. WAITARA MWITA MACHINJIO YA UKONGA MAZIZINI NA PUGU MNADANI
Siku ya Jumanne tarehe 19.01.2016, Mbunge wa Ukonga alifanya Ziara ya kutembelea Machinjio ya Mazizini katika Kata ya Ukonga na Mnada wa Pugu ulioko kata ya Pugu Station jimbo la Ukonga.
Msingi wa Ziara ya...
TAARIFA KWA UMMA...
Ndugu wananchi wa Jimbo la Ukonga tunapenda kuwapa taarifa kuwa Mbunge wa Ukonga Mh. Waitara Mwita kesho Jumanne tarehe 12.01.2016 atakuwa na mkutano wa hadhara katika Kata ya Majohe eneo la Kwa Ngozoma.
Katika mkutano huo Mh Waitara atawashukuru wananchi wa Kata ya Majohe...
Leo nitakuwa katika Kata ya Ukonga mtaa wa Mongolandege ambako jana wakazi wake walianza kuwekewa alama ya X kwenye nyumba zao. Nitazungumza na wakazi wote ambao nyumba zao zimewekewa alama ya X tayari kwa kubomolewa na baada ya hapo tayari tumeshapata mwanasheria kwa ajili ya kuchukua hatua...
Mbuge wa Ukonga Mh Waitara Mwita ambaye pia ni Mwenyekiti wa Mtaa wa Kivule ameuingilia kati mgogoro wa eneo la shule ya msigi Kivule. Katika hatua ya awali mbunge pamoja na diwani wa Kivule waliusimamisha ujenzi wa ukuta unaotenganisha eneo lenye mgogro na eneo na kuliacha nje eneo sehemu ya...
Mbunge wa Ukonga Mh. Mwita Waitara ameingilia kati mgomo wa wafanyakazi wa Kiwanda cha NAMERA GROUP kilichopo maeneo ya Kata ya Gongolamboto katika Jimbo la Ukonga. Katika mkutano na wafanyakazi wa Kiwanda hicho, mh. Waitara Mwita aliwataka wananchi hao kumpatia kero zao mbalimbali bila kuwa na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.