Mmh! Umesema serikali hii imeshindwa kutekeleza BAADHI ya ahadi zake. Umetumia neno BAADHI maana yake ni kwamba zipo ahadi zingine tayari ZIMETEKELEZWA.
Na yapo mengine hayakua kwenye ahadi lakini yametekelezwa.
Sasa apo shida iko wapi Wakati muda bado upo.
Acheni siasa za upotoshaji
Sent...
Watu wana chuki hali hii awa jamaa wanachuo kimoja tu tunaanza kuwavizia. Binafsi nimewafatilia sana ila kiukweli wapo vizuri. Matatizo madogo madogo hayakosi ila kwa kusimamia Taaluma wapo vizuri
Natarajia kutoka Rasmi Jamii Forum, JF inanuka, watu hawachangii juu ya ukweli wa mambo jinsi ulivyo. Tofauti na kipindi cha Nyuma.
Kumbukeni Mungu anawaona kwa kila NYEUSI kutaka kuibadilisha kuwa NYEUPE. Kutaka kubadilisha usiku kuwa mchana. Wanachangia kwa kufuata ushabiki.
.
Najifunza...
Mungu yupo, ila si wote wanaingia nyumba za ibada. Dini yako ni mzuri kwako ila ni kero kwa mwingine. KAMA MNATAKA KUHUBIRI ITIFAKI IZINGATIWE, VIONGOZI WA DINI ZINGINE PIA WAALIKWE KUFANYA IVYO.
IZO GARI NI ZA PUBLIC SIO ZA DHEHEBU FULANI LA DINI.
Eti nasikia kwenye baadhi ya madangulo wanatumia Salama zilizoandikwa Familia condo.. kwani zile si ni special kwa ajili ya KUZUIA MIMBA KWA WANANDOA?
Sasa si itakuwa tunaenda kujiua?
Au kwa wataalamu wanaojua watujuze kama pia zinazuia na maambukizi, maana kama izo ndizo zinazotumika uko, ni...
nimeenda sehem ya jisajili, nikaingiza jina. then email sehem mbili. then neno la siri sehem mbili, lakini cha kushangaza wanasema umeingiza check namba isiyo sahihi.
swali je check no. tunaingiza sehem gani?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.