Nakumbuka kwa mara ya kwanza Mh. alipoingia katika utawala mwaka 2005 aliingia na mkosi wa majambazi, ambao waliingia nao katika mtandao kwa kasi ya ajabu...hata kabla ya kumaliza siku mia moja za uongozi kukawa na matukio kadhaa ya ujambazi mkubwa wa uporajia mkubwa wa benki na unambazi mwingi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.