Mnamo 26, march 1983 Mzalendo Hayati Edward Moringe Sokoine alisema yafuatayo,
" Ole wake kiongozi mzembe na asiye na nidhamu nitakayemkuta, kiongozi wa siasa hana usalama wa aina yoyote. Usalama wake ni kudra za Mungu na wananchi wake peke yake, VIONGOZI WAZEMBE NA WABADHIRIFU WAHESABU SIKU...
UTEUZI WA JK NI SAHIHI
Kwa wale wanaohoji uteuzi wa JK kuwa Mkuu wa chuo UDSM ngoja niwasaidie.
Ni kawaida Rais Mstaafu kuwa Mkuu wa Chuo Kikuu cha Umma. Mfumo huo ulianzia huko Marekani sisi tumecopy tu bt nchi nyingi za "Common Wealth" zinafanya hivyo.
Nchini Zambia Rais wa kwanza wa nchi...
Kwa wale Wana fasihi NA WANA UDSM TUMEPATWA NA MSIBA MKUBWA SANA LEO
EDWIN SEMZABA mwandishi wa kitabu maarufu cha Ngoswe penzi kitovu cha uzembe amefariki dunia leo.
Bwana ametoa na Bwana ametwaa. Jina la bwana lihimidiwe
MAGUFULI anatekeleza sera na ilani ya UKAWA,sasa mbona kwenye BOMOA BOMOA mnapiga yowe? Ilani yenu si ndiyo inafanya kazi au mmechoka Kuzungusha mikono?
Sijawahi kuona watu wametengeneza ilani na wamekimbia kuipinga mahakamani ilani yao
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.