Jamaa yupo Morogoro akipiga kazi na Abood FM Radio. Ni moja ya makampuni ya Abood Aziz mbunge wa Morogoro Mjini...na ana kipindi chake kama kile cha zilipendwa radio Tanzania. Jamaa namkubali toka kitambo sana enzi za BP ni Zaidiiiiii...ilikuwa noma kwa sababu alikuwa anaweka ngoma kali za...
Ee bwana ndiyoooo! Jamani wadau nimecheka hadi nivunje mbavu....Hivi data zote mnazitoaga wapi??? Mkubwa kama vipi idondoshe na nyeti nyingine za wauza sura haoo!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.