Mzee ndio maana kuna sehemu inasema "forgot your password?". Maana yake kama umesahau hata password ya zamani then unaweka email address uliyofungulia hiyo acount. Sasa assume pia simu yako una email app ambayo itapokea hiyo link ya kuverify kuwa unataka ubadili password. Ukumbuke email app...
Ni wazo zuri sana hata mimi naona lina tija, lakini isije tukakuta fisi anakula matobolwa kwenye tembe za makazi ya watu. Maana bana hao wanyama wapya naamini hawajui mipaka yao mipya ukilinganisha na mipaka yao natural waliyoizoea huko walipotoka.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.