Wana ccm msijifariji vijana wamebadilika na wanataka mabadiliko,ccm hamtoboi bhana,we kila unapopita edo edo,mitaa saba ya huku kwetu wapo ukawa na wenyeviti wa hapa ni chadema nyie ccm mtatokea wapi?
Amani ya nchi ni muhimu zaidi kuliko matakwa ya wanasiasa. Uvunjifu wowote wa amani utaligarimu taifa kuijenga upya amani itakayovunjwa.
Wanasiasa fanyeni siasa zenu amani yetu mtuachie.
Mungu ibariki Afrika, Mungu ibariki Tanzania.
Mtoa mada hata sisi huku kwenye vibanda vya chai tuna wahamasisha mpaka wanakubali kweli Lowasa anaweza.Watu 6 tumeshawavua gamba tumewavalisha gwanda.
Natamani Sana kumuomba Mungu anifikishe tarehe 25/10/2015 kupiga kura na kujua kuwa nani Lofa na nani msomi.Kauli za kuitwa malofa kunanipandisha hasira nizidi kuchukia ccm na siasa za kibabe za mtu kupanda jukwaani na kutamka atakavyo, kwani tutafanya nini haya bhana mnyonge mnyongeni haki...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.