Ndugu yangu subiri muda mchache tuu nao Chadema watawaruhusu akina Halima kuwa wabunge. Hilo ni dhahiri. Wamechelewa tuu ili kuwaridhisha Tundu na Mabeberu waliowapa mpunga wa kampeni. Mpunga ule wa milioni moja kwa kila mbunge kwa kila mwezi wauache? Haiwezekani.
Subiri muda mchache tuuuu na Chadema itawaruhusu akina Halima kuwa wabunge. Amka ndugu yangu kelele zako hazitawanyima wao kunywa maji. Watch this space.
Mjomba mbona huna uelewa wa Katiba yetu? Wabunge wa kuteuliwa na Rais ni wasiozidi watano wanaume na wasozidi watano wanawake; hivyo jumla isizidi 10. Hivyo Polepole yuko kundi la wanaume. Rais amebakiza nafasi zisizozidi nne kwa wanaume na zisizozidi nne kwa wanawake. Halafu pia Polepole...
Amka usingizini Bro. Wabunge 19; kila mwezi wakichangia chama chao milioni moja; kwa mwaka milioni 12 X 19 unapata milioni 228, mara miaka mitano unapata milioni 1,140 (Bilioni moja na ushee!!!!) ; sasa busara yao ni bora kuzipata hizi halafu mnagawana na Viongozi. Mwenyekiti anachukua chake na...
Muwatimue..... subutuuuuuu; na huku mshiko munautaka!!! Hiyo ya Mnyika ni danganya toto; Wabunge hawa wana baraka zote za Mhe Mwenyekiti wao wa maisha.
Duuuu Ndugu yangu amka katika usingizi; tangu lini Amsterdam akawa na mapenzi na watu weusi? Ingekuwa hivyo angeanza kutetea Weusi wa USA, Ulaya, nk. Huyu Bwana hatupendi; anapenda kutunyonya mali zetu tuu. Ndiyo maana ataendelea kusema uongo ili afikie azma yake ya kuweka madarakani Vibaraka...
LISSU MZALENDO???? UKO DUNIA YA WAPI? KIBARAKA ANAYETAKA KUUZA MALI ZETU KWA KUWEKA REHANI ATAKUWAJE MZALENDO? BADO MASAA MACHACHE TUU TUNAENDA KUWAONYESHA KUWA TANZANIA NI YA WATANZANIA NA SIYO YA TRIPPI, AMSTERDAM, SMITH. HATUDANGANYIKI KAMWE.
NAKUBALIANA NA WEWE. HIMA WATANZANIA KESHO TUJITOKEZE KUWAADHIBU HAWA MABEBERU NA VIBARAKA WAO. TWENDE KUPIGA KURA MAPEMA TUU ILI IFIKAPO SAA 10 JIONI WAISOME NAMBA. YAAANI IIIIIIIIIIIIIIIII.... WANADHANI SISI NI WAJINGA SAAAAANA. ETI MIRADI YA UMEME, BARABARA, RELI, NK. SI KITU...
ASANTE SANA KWA UZALENDO WAKO. MIMI PIA NIMESAFIRI ZAIDI YA KILOMITA 1,200 ILI NIPATE NAFASI YA KUPIGA KURA; LENGO LIKIWA KUWAFUNDISHA AMSTERDAM, SMITH, TRIPPI NA VIBARAKA WAO KUWA WATANZANIA TUNAJUA MIPANGO YAO OVU YAKUTAKA KUPORA MALI ZETU. WASHINDWE NA KULEGEA. MWENYEZI MUNGU YUKO NASI...
Angalia watu kama wewe mlio bado na utumwa wa wakoloni. Hivi katia ya sefu na mwinyi nani mzanzibari halisi?? Mimi nakwambia wote ni wazanzibari halisi. Huu ubaguzi wako umechagizwa na propaganda za wazungu ili watugawe maana hivyo ndiyo wanaweza kupora rasilimali zetu. Amka mjomba sisi wote ni...
Sasa wewe unataka Seif aachiwe tu avunje sheria? Anaenda kituoni eti kupiga kura leo! Unataka vyombo vya dola vimwache akapige kura? Yeye ni nani? Anajua hawezi kushinda ndiyo maana anataka kutokee vurugu. Amani italindwa kwa gharama zote.
Baki na uongo wako. Subiri J5 tunavyoenda kuwaonyesha vibaraka kama wewe. Sisi Wazalendo tunaenda kuchagua maendeleo siyo fujo, tutachagua Wazalendo na siyo vibaraka wa Wazungu maana mali zetu ziwanufaishe Watanzania.
Duuuuuuu unamdanganya nani? Kwa lipi Watanzania watawapigia CHADEMA??? Wanapinga miradi yote ya maendeleo; sasa watawaendeleza vipi??????? Eti Salum Mwalimu ninayemjua awe Makamu wa Rais???? Kichekesho cha karne.
Wewe mwanaCCM gani utakayempa kura Lissu? Kama wewe ni fisadi, huna uzalendo, mla rushwa, asiyependa maendeleo, anayependa ushoga, ..... NDIYO UTAMPA KURA huyu kibaraka wa Wazungu. Ujue kuwa mwenzako Lissu analianzisha hapa na kwamba tayari ana tiketi ya kukimbia nchi mara tuu baada ya uchaguzi...
Duuuu uongo mwisho wake J5 hii maana CCM itashinda kwa kishindo. Hilo halina mjadala maana kazi yake inaonekana kwa kila Mtanzania hata wewe pia. Jitayarishe kulialia eti wameiba kura!!!! Tumchague Tundu kwa lipi zuri????? Shauri yako mwenzio ana tiketi tayari anajipanga kukimbia nchi. Hivi...
Duuuu kweli Wazee walisema "Ukiona chongo unaita kengeza"; maana CCM ndiyo Ilani yao imesheheni tuliyofanya miaka mitano iliyopita na nini tumepanga kufanya miaka mitano ijayo. Wagombea wote wa CCM wamekuwa wakieleza haya bayana.
Ni Chadema tuu ambao wamekuwa wakiogopa kusema waliyofanya...
Shida yako wewe huishi kama jina lako la Mchunguzi. Wewe ni mlalamikaji tuu asiyefanya uchunguzi. Ungechunguza ungeona kuwa sababu za kujenga flyovers ni kupunguza foleni jijini Dar es Salaam. Foleni hizi (ambazo siyo kwa magari ya Dar tuu bali ya nchi nzima) zinagharimu pesa nyingi katika...
Kama ni kweli hii ni post ya USA Embassy na wameandika hivyo wakilenga kukosoa juhudi za JPJM kwa kumbeba TAL basi wanasahau kuwa ili watu waendelee lazima uendeleze vitu. USA imeendelea kwa kuendeleza miundombinu yao. Hapa Tanzania tunatumia vitu ili kuendeleza watu na vyote hivi vinaenda...
Yaani mfa maji kweli haishi kutapatapa. Maji yako shingoni TAL anatafuta njia tuu ya kuleta vurugu. Waliochoma nyumba huko Arusha ni wao wao ili kutaka vurugu ianze. Hatudanganyiki. TAL na kundi lake mwageni sera zenu za nini mtafanya mkipata dola. Msiendelee kutafuta huruma kwa wananchi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.