Search results

  1. M

    The Road to The 2014 FIFA World Cup - Brazil

    Timu ipi ya Afrika unatabiri!
  2. M

    The Road to The 2014 FIFA World Cup - Brazil

    Hiyo England kwa timu ipi walionayo? Kila msimu wa kombe la dunia propaganda nyingi
  3. M

    The Road to The 2014 FIFA World Cup - Brazil

    Simple logic. Wachezaji wa wanaocheza nje ya Brazil wanauzoefu wa kimataifa hivyo itasaidia kutoa upinzani kwa timu ambazo wanachezea ligi
  4. M

    Msaada wa kisheria kwenye kesi ya Mirathi

    Hao watoto nadhani wana umri wa miaka kumi na nane na zaidi kama hawaridhiki na jinsi mama was kambo anavyotaka kuhodhi mali walieleze mahakama tu
  5. M

    Mwigulu Nchemba adai alikuwa best student stashahada ya kwanza na ya pili.

    Kuwa best student si kigezo cha kuwa kiongozi mzuri hadi leo maprofesa wengi hawasaidii taifa hili. Mdau ajenge hoja zenye mashiko
  6. M

    Msaada wa kisheria kwenye kesi ya Mirathi

    Nadhani hata hiyo mahakama ina matatizo. Navyojua mimi maamuzi ya usimamizi wa mirathi hupendekezwa na kikao cha wanandugu iweje huyo mama afungue kesi ya kuwa msimamizi bila kushirikisha ndugu?
  7. M

    John Shibuda na mgogoro wa Kauli ya kuisifia CCM; Kauli za wana CHADEMA

    Lengo la Shibuda kuingia CDM ni kuja kuharibu tu alitumwa kazi maalum naona amekamilisha sasa anaanza vurugu. Uongozi wa CDM uko imara atapiga makelele tu huyo wananchi wanaelewa uvuvuzera wake huo hajaanza jana wala juzi asitishe chochote
  8. M

    Kumshitaki Mbunge Lusinde kwa matusi aliyomwaga Arumeru

    Nadhani Lusinde atakuwa na matatizo ya akili akapimwe. Kwa kitendo alichofanya anatakiwa kushughulikiwa. Kama hizo ndo sera za ccm hatufiki. naona wameamua kuweka hadharani tabia zao sasa
  9. M

    Mapenzi yananitesa, naombeni ushauri

    Huyo anaonekana hana mpango na wewe. Cha kufanya lea mimba yako tu. Kazi unayo utamudu kulea mtoto. Hizo ni changamoto za maisha hata kwetu wapo wa namna hiyo hata usiumize kichwa na kujipa presha yeye afurahie maisha wewe uteseke kwa lipi?
  10. M

    Msafara wa mh. Nahodha Wapigwa Mawe Tunduma-Mbeya

    Hiyo sawa kabisa kwann magari ya serikali yatumike kwa shughuli za chama? Hakika state-party fusion haitakufa bora wananchi wamejionea wanyewe. Wadau mkipata wasaa pitieni makala ya nguli wa mambo ya siasa wa udsm Dr. Makulilo katika utafiti wake Tanzania: a de facto one party state?. Nawasilisha
  11. M

    Madaktari live mlimani tv

    Vita ni vita mura haki madai yenu ni ya msingi tuko pamoja nanyi
  12. M

    Urembo wa vikuku, vishaufu na cheni (shanga) kiunoni kwa wadada

    Kinachokushangaza ni kipi hapo? Shanga zina tatizo gani kwani? Shanga ni urembo kama urembo mwingine hauzii mtu yeyote kuvaa ama mwnafunzi au vinginevyo. Kama mtoto mdogo anavalishwa huyo wa form 3 kwanini asivae?
  13. M

    Barcelona kimenuka, wako nyuma 1-0

    Hiyo ndo sawia wapate na wao uchungu wa kufungwa kwani wao wana haki miliki ya ushindi? :A S 465::A S 465:
  14. M

    Zitto ahamishiwa Muhimbili hospital kwa matibabu zaidi

    Wenye habari mtupe jaman
  15. M

    Wasichana wenye elimu ya juu,ni matatizo.

    Umetoa maelezo mazuri ulipochemsha ni kutoa mifano ya wazungu. Acha kuchanganya tamaduni wewe usiige. Hata hivyo mila zetu ni nzuri mwanamke lazima amuhudumie mume ipasavyo
  16. M

    Serikali na Mkopo wa Stanbic

    Sababu za kutoaminika kwa utafiti wa Synovate Sunday, 07 August 2011 11:49 Alexander makulilo TAFITI za kura za maoni ni muhimu sana katika nchi inayofuata mfumo wa demokrasia. Hii ni kwa sababu tafiti hizo hutoa nafasi kwa wananchi kutoa maoni yao juu...
  17. M

    Nahitaji ushauri please kabla ya kufanya maamuzi

    Msaidie huyo binti ukae nae Mungu atakubadiliki
  18. M

    Kwanini wadada wengi wakisaidiwa na kutoka kimaisha wapenzi wao, huwasaliti?

    Jambo la msingi ni kuwa kuna swala la kupenda na upande mwingine ni kusaidia. Si sahihi kutumia rungu la msaada kama chambo cha kujenga penzi.
  19. M

    Mpenzi wangu anaumia saana tunapo "do"

    Kaka hilo pepo ndo linalosababisha maumivu hayo mwambie GF akaombewe
Back
Top Bottom