kweli naungana na wana JF kwa kumwambia rfki yetu kuwa hiyo kitu haisomi kilomita hivyo avumilie tu na pia ukiona demu wako anamegwa na rafiki yako ujue unao upugufu wa kummega haumtoshelezi ndo maana anatafuta tiba mbadala.
michelle hapo mambo poa mie nijuacho ni kwamba wasichana wengi wakiwa bed huwa wanajisahau, mwonyeshe mwanaume kuwa unaweza lkini ukilemaa harudi tena hivyo nawaasa dada zangu jitumeni vinginevyo hata mkiolewa mtaachwa ndani na mume atakwenda kutafuta amridhishaye
Kamarada umenifurahisha kweli kwamza umpeleke milembe hospitali ya vichaa, hiyo kali.
Mie ningemwuliza swali ili anipe jibu, kwani kutongoza ni kitu gani? akishajibu basi ndo mwazo wa yote ila ni kwa pale tu nipapendapo.
michelle unamsingizia kama hafiki ten minutes basi mgonjwa huyo kawaida ili wwe uridhike kabisa ina takiwa min 45minutes au one hr hapo kidogo utakuwa unamkumbuka otherwise utamkandia tu
Hauna haja ya kuomba yeye mwenyewe anajirengesha kwa vitendo vyake na maneno mpaka unaona sasa imewiza. Ukiwa unaomba unakuwa inaonyesha yeye hayuko tayari
kama unajua kucheza na ufundi mwingi ni pale golini na mashabiki ndipo wanafurahia kuona jinsi mpira unavyo ingia golini , goooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooo hatimaye mpira unaanza kati
Jamani wandugu, nami japo mgeni naomba nichangie, mie kwa mtazamo wangu, unapashwa ujiamini kwanza na pia kama hauridhiki na kile ukipatacho hauzuiwi bwana kutafuta raha uipendayo maana utamu wa muwa aujuaye mtafuna na utamu wa mwanamke au mwanaume ajuaye ni mlaji au mliwa( if u do me i do u)...
dada changamaka vinginevyo kama mdau alivyosema utakuta mwana si wako, kwanza kama hajachakachua hata mara moja basi haoni umuhimu wa kukupigia marakwa mara. wwe kama unampenda kikweliiiiiiii jitahidi kumuweka karibu yako utaona mwenyewe mpaka itakuwa kero kwako
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.