Asilimia kubwa ya wanaume masikini huonyesha mapenzi ya dhati atawahi nyumbani mapema kabla ya saa 2, atakushirikisha mambo yake yote, atakua muwazi, atakusaidia kupika, kubembeleza mtoto siku akikosa hata mia atakwambia vumilia mke wangu ipo siku yatapita mkila ugali maharage mtaridhika kifupi...
Wanaume mlooa jueni kuzihendo ndoa zenu nyie ndio mmekua chanzo cha kuharibu watoto wetu mnaturudia usiku mkiwa mmelewa, mnatutukana mbele ya watoto mnatupiga nk, mtoto hujifunza baya na zuri kupitia kwa Mkubwa, sasa nyie wababa msipo jitambua nakujiheshimu mnategemea tuwaheshimu kwatabia zenu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.