Mbona amejiandika yeye zitto kabwe!Ka chama kake ni NGO yake.Unafiki huu bwana unpaid wa mafarisayo.Ndio hayo ya kumnyooshea mtu kidole kimoja wakati vinne vinaelekea kwako!
Post kama hizi za watu wenye akili na hekima nyumbu hawazipendi.wao wanataka uwaambie form four failure mbowe na Lema wana akili kuliko wabunge 100 wa ccm!
Daudi alikuwa anachunga mifugo ya jessealikuwa ajajinda kuwa mfalme wa israel,lakini Mungu alimtia mafuta.Urais unachaguliwa na Mungu.Augombanniwi kama lowassa.Anaogombania urais ni mwizi
Joka linawakilisha milionea Lowassa au watu wenye tabia mbaya kwenye jamii.Ndicho nilichojifunza kwenye shairi.Waliotetea joka walilaumu mfumo.Walilaumu mfumo ili joka lionekane halina hatia.
siku hizi nakala nyingi hapa hazina research zinaandikwa na watu wenye mihemko.Na pamoja nakutokuwa na utafiti na busara na wenyewe wanasema wanamshauri rais.
mbona wanaojiunga na ukawa ni watu waliochujaa na wajinga Tambwe au wana dalili za ufisadi mfano Lowassa,Masha,Sumaye sasa Mungai.Kwanini sisikii majina ya maana mara tambwe hiza.Poor chadema naanza kuichukia wanachukua makapi kila kona,Shauri yao!
Chadema msitufanye watu ni wajinga.Hotuba ya Lowassa kwa kipimo chochote ilikuwa mbovu,haina mvuto,na inaonyesha mtu hajui kuongea.Mimi sijawahi kuona kiongozi wa siasa hasiyejua kuongea kama Lowassa.Hata Mnyika angeongea vizuri.
Mtu hajui hata kuongea.Na usiku itv anasoma hotuba kama mtoto wa darasa la kwanza.Sumaye kaaongea kushinda huyo baba. Au alikuwa anaogopa kuanguaka?Hotuba dakika 10?
mnaocomment mmesoma ripoti.ripoti inasema bukoba mjini,mbeya mjini na arusha ni majimbo yenye watu wenye vipato vikubwa. mleta mada nadhani hajui kusoma au aliamuatu kudanganya.Someni kabla ya kuchangia
ZITTO NA MAKAMBA JUNIOR hawana mvuto wowote.Na wanachuo gani wanajadili vitu bila kusoma sheria katiba ya Tanzania,1977 na rasimu ya katiba vinataka inayotaka Rais awe na umri wa miaka 40.wanajadili vitu ambavyo havipo.Kwanza makamba mwenyewe kwenye historia yake hajatuambia form four na six...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.