Search results

  1. M

    UFAFANUZI: Usalama wa Taarifa binafsi za Watumiaji wa JamiiForums

    This is too funny.... By design cookies track you. The sad part, not only on JF, but across multiple websites and apps. This is without no IT work. Add a little weight from Eagle house, and voola....you are naked like swimming in Lake Victoria. So people in TZ, really think they are anonymous...
  2. M

    UFAFANUZI: Usalama wa Taarifa binafsi za Watumiaji wa JamiiForums

    This is Mumbo Jumbo. You know very well, as the landing/ending point, you are privy to a lot of identifiers. It will take an amateur 2 mins from this critical data, to identify the culprit. By the way, it's a known fact all intelligence services that are competent can gain access to a lot. So...
  3. M

    Kitwanga: Hadi sasa bado najiuliza tuna Serikali ya namna gani. Kama miradi ya umeme wa Stiegler's Gorge, na reli ya kisasa SGR inachukua nusu bajeti

    Ndio sababu huyo kichaa alifukuzwa uwaziri. Yeye akili yake inadhani gharama za miradi mikubwa inalipwa kwenye budget ya mwaka mmoja!!. Certificates za hiyo miradi zinakuwa due step by step, and in about 4-5 years!! When you mix with future loans and The fact that benefits will be for over 100...
  4. M

    Wawekezaji Wamerekani wadaiwa kutoroka usiku wa manane kisa TRA

    Swali rahisi??? 1. Mwekezaji ni foreigner 2. TIC certificate ya 5 yr tax holiday (corporate tax) kwa nini hana na mtaji wake ni $2.3M?? 3. Business started Nov 2017, so corporate taxes will be 0% until Nov 2022 It looks like, they were not remitting VAT taxes, which by definition is govt money...
  5. M

    Compare SGR TANZANIA $1.87bn/300km Vs SGR ETHIOPIA $3.40bn/750km. Tumelamba dume/dume katulamba?!!

    300 km za Dar - Moro, cost ni 2.8 Trillion Tshs approximately 1.3B USD. Tuweke kumbukumbuka vizuri
  6. M

    Makamba: Mnyika acha Unafiki, sote tumeshindwa Bungeni!

    January leo kaniacha hoi. Yaani Serikali ilete kodi bungeni, tena kwenye wizara yake, halafu aseme tumeshindwa bungeni?? January anajua yeye ni naibu waziri au?? Sasa atapinga vipi serikali wakati ndio iloweka hiyo kodi?? Hapa ni moja kubali lawama au jiuzulu. There is no way to be on both...
  7. M

    Elections 2015 Mgombea Urais CCM 2015: Ni Bernard Membe au January Makamba

    Kati ya hao wawili, My vote goes to January. He is a new generation leader, with a vision. He will run the country with result oriented policies! Nawapenda Chadema, lakini kama CCM ndio itashika hatamu, of those 2, Go January!
  8. M

    Mheshimiwa Msechu unastahili pongezi

    Kwanza kabisa, nakubaliana 100% na pongezi alizopewa Mr. Mchechu. NHC ni shirika ambalo lazima lijiendeshe kibiashara for at least the next 10 yrs, ili kujenga faida na capital base ya kuanza kufikiria hizo nyumba za bei nafuu. Huo uozo kwamba mashirika ya serikali ni ya kutoa huduma, ndiko...
  9. M

    Wabunge kupiga kura ya kutokuwa na imani na Waziri Mkuu Pinda?

    Zitto, accountability lazima iwepo, na hii serikali isiyosikia kwa kweli inahitaji kuamshwa. Pinda achape kazi, kama hawezi, apishe watu wenye ability. Mkullo, Ngeleja na wababaishaji wengine lazima watoke. Kigoda apewe MOF, kuinusuru nchi hata kama Jk ana hasira naye za mambo ya 2005. Mawaziri...
  10. M

    Ahsante Wabunge Wa CCM, Ahsante JF!

    Mkuu Willy once again, Congrats. Kwa kweli sikudhani kama hao watu wenye makundi watakupitisha hizi hatua mbili za mwanzo. Sababu umefanikiwa kupita, kuwa macho sana, and YOU NEED TO CONSOLIDATE votes scientifically now. Usijipe nafasi kabisa ya kurelax, maana kuna watu wana hasira na...
  11. M

    Tanzania's untapped wealth; Tanzania is ranked fourth after SA, DR of Congo and Nigeria

    Mkuu Mkandara, hapo kinazungumziwa Diversity, ( Different types kama Tanzanite, diamond, uranium, gold nk) ambayo Mwenyezi mungu ameturehemu kupita kiasi na utajiri ambao tungeweza kabisa kuufanya uwe shortcut ya development ya Tanzania. Tanzania ni NCHI TAJIRI SANA, Oil na natural gas in the...
  12. M

    JK na wabunge wa CCM Dodoma kimenuka

    Mkuu Mchambuzi, everyone knows what the real issue is. In TZ, the head of state is backed by a constitution that gives him/her almost absolute power. For EL to paralyze the country for his stupid almost maniac quest to be the future president, and JK for no good reason to let him do that, ITS...
  13. M

    Kwanini Watanzania na Tanzania ni masikini pamoja na rasilimali (resources) tulizonazo?

    Mkuu Mkandara, binafsi I disagree with the thesis framework. In my opinion the thesis should have been " Why is Tanzania rich, but the people do not benefit from its riches" Haiwezekani nchi yenye Tanzanite ( The only one in the world), Gold ( one of the major producers in Africa), Diamond...
  14. M

    Times Up! Hadji, Nyoni and Mtasiwa must go Now!

    Mwanakijiji, kwa kweli nimempa JK benefit of the doubt kwa muda mrefu kupita kiasi, nikitumia kigezo kuwa the guy is a nice person with a good heart by nature and not a FISADI, lakini kwa kweli sasa hivi nchi imekosa mwelekeo. Hao watu wote kuresign hakuna haja wanatakiwa wawe fired, FULL STOP...
  15. M

    Times Up! Hadji, Nyoni and Mtasiwa must go Now!

    Mkuu Mwanakijiji, I agree the whole leadership @ MOHSW has to go, for clearly mishandling a very simple Intern issue in the beginning which ballooned to the Doctors crisis we have now. But the MPs POSHO, is where heads really need to roll. PM & Speaker have both lost credibility by paying MPs...
  16. M

    Farewell-Kwaheri Regia: A Tribute Page

    Dada Regia, May Almighty God Rest Your Soul In Eternal Peace. Regia was one of a kind and Tanzania is at a loss.
  17. M

    Regia Mtema is No More!

    This is just so sad........ Sister Regia your future was so bright and the nation would have been better for it. Through JF, it was as if I knew U personally. It is God's will and I thank You for all U did for Tanzania. May God Give Courage to Ur family and Rest Your Soul In Eternal Peace.
  18. M

    Kikwete, huu mtandao ni hatari! Be careful, otherwise waweza kuwa historia (Part 2)

    Mkuu Hutaki Unaacha, umekosea sana. Ilitakiwa dossier ije kwa pamoja. Hali ilivyo hivi ni hatari sana. Mkuu hata mimi umeniacha hoi, maana kuna mambo mengi yame make sense kwa haraka. Haya tuone kama kweli JF ni jukwaa huru, Time will Tell, lakini kesho asubuhi corridor pale oysterbay zitakuwa...
  19. M

    Naibu waziri wa TAMISEMI akataa kuzindua Boti Bukoba

    Kuna Halmashauri zaidi ya 100 TZ, sasa atamicro manage vipi zote at the same time?? Hii wizara ni ngumu mno, na uchafu wa kwenye Local Govt ni mkubwa kupita maelezo. Amejitahidi sana kufumua hizo halmashauri na kuweka Mauditor na watu wa finance wenye qualifications. Kuna improvements, lakini...
  20. M

    Jerry Silaa kashindwa kazi?

    Mh. Jerry Silaa, hongera kwa kazi unayofanya na vile vile kujaribu kujibu hoja humu JF. Watanzania kwa ujumla wetu tunakabiliwa na tatizo sugu la kupenda sana kulalamika na kujifanya wajuaji wa kila kitu. Yaani sisi, kitu chochote kwetu kimefanywa vibaya sana lakini hatupendi kuangalia kiini...
Back
Top Bottom