Sawa. Lakini hata kama hakusema hivyo, ni kweli kabisa kwamba waafrika dini ni za kuletewa. Hatuna dini zetu zinazoambatana na tamaduni zetu. Tumechukua au tuseme tumelazimishwa dini na tamaduni za watu wengine!
Tunaenda kuhiji Yerusalem na Maka! Wahindi wana dini (Hinduism, Sickism) na...
Kweli yapo mambo mengine yanahitaji ufuatiliaji wa karibu yanyooke katika governance system lakini hili la mfumko wa bei unalizuwiaje. Tuelewe pia kwamba kuna faida zake, saiv wengi wanafikiria au tayari wamewekeza kwenye kilimo kufuatia bei nzuri.
Kama waTz hawajaandamana kama wakenya...
Naungana na wewe katika hili. Hii mikopo hailengi kwenye uzalishaji wa kutukwamua kiuchumi mbeleni bali kutukwamisha kwa kuwa mzigo mkubwa wa madeni huko mbeleni bila kuwa na uwezo wa kulipa kwa kuwa hailengi kwenye kuongeza uzalishaji bali ulaji (consumption) Mikopo inayolenga kwenye...
Kifupi, mwandishi ametoka nje ya "context". Mjadala wa matumizi ya Kiswahili kufundishia hauhusu uzalendo au la. Wala matumizi ya Kiswahili siyo kigezo cha uzalendo kama ambavyo matumizi ya Kiingereza siyo kigezo cha kutokuwa mzalendo.
Mjadala unahusu matumizi ya lugha ambayo itapandisha uelewa...
Uzoaji wa taka mjini hapa Dar umezorota sana. Huku Kimanga wako wanaopita wanakusanya pesa ili wachukue taka. Maeneo ya stendi taka zinakusanywa na kuoza karibu na maeneo yanayouza vyakula, matunda, mboga nk. Kuna tatizo ambalo limejitokeza siķu za karibuni.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.