Kuna wanaume wanachepuka to the extent wanawathamini michepuko kuliko wake na familia zao..
At this point huwa mna expect nini kutoka kwa hao wake zenu mnaowamistreat?
Jamani hivi kuna wakati unakuwa humpendi mkeo hadi unajuta kumuoa kwa sababu ya mchepuko.
Naombeni sababu kwa nini? Why dd u mary her in a first place?
kama ulimpenda sana mwanzo how come mwanamke mwingine akubadilishe especially baada ya kupata mafanikio ya kimaisha?
Jamani nina maswali mengi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.