Poleni sana wana madale, ila mleta habari ungeleta habari kamili kama unataka watu wachangie mawazo haraka nini cha kushauri au kifanyike kuepusha maafa zaidi, kuleta habari nusu nusu haina tija au kutumbia unaenda mochuari kufanya nini? jamani hebu jitahidi next time kuandika kinachoelewaka au...
Pesa ya Mbowe ni clean siyo ya EPA! huyo Mwigulu ni mropokaji hana chochote, msema chochote, haitusaidii kutueleza personal issues za Mbowe. Tuambie chama chako kinatufanyia nini ili tupate maisha bora, huduma za afya madawa kwenye hospital, huko vijijini watu hawana hata vituo vya afya, maji...
soma alama za nyakati! that is not love.mhebu jikaze kwa muda wa kama mwezi mmoja bila kumjulia hali wala sms wala nini, akikaa kimya chukua time yako!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.