Sikubaliani na machinga kupanga bidhaa zao kila sehemu. Shida ni sera mbovu za viongozi wetu ndio zimelilea tatizo hili. Nimejifunza hii inchi kila kiongozi anakuja na dira yake; hivyo taifa kama taifa halina dira.
Ni kweli mkuu mfumuko wa bei ni mkubwa mno sio sekta ya ujenzi ni sekta zote. Kwa kweli ni shida tupu viongozi wapo kimya kizito huku wakijisifu uchumi unapanda na kwamba wao ni wachumi bora.
Kazi ipo na uzi kama huu haupati wachangiaji maana wengi wamekuwa makuwadi wa siasa uchwara
Mimi binafsi sioni shida ya hayo yote ulioyataja. Uhusiano kati ya taifa moja na jingine ni muhimu cha msingi ni kujali maslahi yenye usawa kwa manufaa ya raia wa hizo nchi. Cha msingi ni kuzitazama upya sera zetu za mahusiano na ushirikiano dhidi ya mataifa mengine ziwe zenye kuleta manufaa kwa...
Lakini Wafanyakazi hata kama tunanjaa ya muda mrefu ya kuongezewa mishahara tuwe na subira. Mama ameingia juzi, corona imepiga uchumi tumwache mama ajipange. Kifupi tumpe muda.
Shida ni mfumo wa ajira ulikuwa mbovu na usio makini hivyo ulipelekea watu kuingia kwenye ajira kirahisi bila kuwa na vigezo. Hivyo lawama ni kwa serikali na kwa wote walioingia kwenye utumishi wa uma kwa udanganyifu. Mh Rais kama anawalipa ni vema kwa sababu mfumo uliruhusu udanganyifu
Pole sana boss hapo ni kutafuta fursa ya kujiajiri. Na watu bado wanazidi kuhitimu bila kuchakarika unajikuta unajitolea mpaka unafikia umri wa kustaafu.
Naona umekuja kindaki ndaki ili kulinda na kutetea uvunjifu wa sheria na haki unaofanywa na mamlaka. Mihimili ipo na kila na kila mhimili unatakiwa ufanye kazi kwa mujibu wa katiba ya nchi inavyosema.
Sasa naona umekuja na polojo zako kutetea uovu ukichukua reference za Marekani. Uovu ni uovu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.