Nimeona nije mapema kuwakumbusha nyie Punda wa kwenye mashamba ya mpunga, Leo tunawakanda bila huruma.......tukiwasamehe sana basi tunawatia DUDU hiziiiiii.......Mbili (2), lakini kama POCH akiwaambia madogo ule msemo wa NO MERCY, basi ninauhakika mashabiki wa asenyani (Punda wa kwenye mashamba...
Ifike tu muda tuache kukalazimisha haka kamuungano, kuna angle nyingi sana kanagoma kumatch!!!!! ndo vile tu wanasiasa wanakaforce,,, sijui ni kwa faida ya nani sasa.
Nani alie kwambia degree holders hawaburuzwi kwenye relations/ndoa mjomba?
And are you sure wanawake wote wasio na degree wanaburuzwa kwenye relations/ndoa mjomba?
Hao Equity bank...na kudhurumiwa kote huko bado inaonesha hawakomi kukopesha hayo makampuni.
katika list ya mabank wao ndo wamepigwa pesa nyingi saaaana.
mi nimejaribu kuiangalia kidogo hyo part one, haikunivutia kiviiilee,,,,,labda sababu nilikua na uchovu kidogo.....wacha nijaribu tena.
hiyo shogun hata kama sijaingalia bado,,,,,,sidhani kama ina maunyama kuzidi GOT
Aiiiseeeeeeeeeeee..........tundulissu!!!!!! i dont like ruling system but acheni kabisa kuota hyo ndoto kwamba kuna chama kitashika hii nchi zaidi hiki kinachotawala.
Kupata elimu ya degree ni vizuri na ina umuhimu wake, ila usimjaze kwamba eti itakuja kumlipa siku moja......asije kukulaumu atakapofika uzeeni na malipo hayo hajayapata.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.