Habari zenu jaman!
Wikendi hii naomba tutafakari kisa hiki:
Kuna mwalimu wa shule ya sekondari alikuwa amezoea kumchapa viboko mwanafunzi mmoja mchelewaji. Mwanafunzi huyu alikuwa akichelewa kipindi cha kwanza kila siku. Hivyo, siku ambazo mwalimu huyu alikuwa na kipindi cha kwanza, mwanafunzi...
Habari za wikendi wanajamvi!
Kuna mkasa nilisimuliwa na nikaona siwezi kubaki nao moyoni mwangu bila kukushirikisheni wenzangu. Jaribu kwenda nami katika mkasa huu.
" Kuna mume aliyeishi na mkewe kwa miaka kama kadhaa baada ya kufunga ndoa ya Kiislamu. Mungu akawajalia watoto watatu. Mtoto wa...
Poleni na hongereni kwa kula bata wknd hii.
Wakuu, naomba tupeane mifano ya kero wanazozipata wateja kutoka kwa wafanyabiashara.
Baadhi ya wafanyabiashara huwa wanakera kwa kuweka matangazo ya huduma au bidhaa ambazo hawana
Kwa mfano, unakuta duka lina tangazo kubwa
TUNAUZA VOCHA ZA AINA...
Habari za Weekend, Wadau!
Kuna baadhi ya wasichana wa kazi huonekana wapole, watiifu, wachapa kazi, n.k kiasi ambacho mabosi wao huamua kuwaongezea mishahara au kuwapa zawadi yoyote ile to show their appreciation kwa hao wadada.
Kwa bahati mbaya sana baadhi ya wafanyakazi hao ni wachawi na...
Manispaa ya Temeke haijamalizia kuwalipa walimu hela za usimamizi wa mitihani ya kidato cha nne iliyofanyika kuanzia tarehe 2 - 25 November, 2015. Walimu hao walilipwa hela siku 6 tu wiki ya mwanzo ya usimamizi.
Hadi sasa hakuna maelezo ya kueleweka ya kucheleweshwa kwa malipo hayo.
Mamlaka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.