I like this topic. whether death penalty should be eliminated or not. it is good firstly before arguing anything about it, to discus what does the word murder means, and for a person to be convicted of it what are the pre requisite requirements by the court of law having competent jurisdiction...
do not think no one is above you in speaking this strange language. I belief, there are many who can speak excellent fluent English than you. You can only compare yourself in English speaking to the one whom you once had English conversation with him or her.
biashara haramu ya madawa ya kulevya, pembe za ndovu, bidhaa zinazokwepwa ushuru, utoroshwaji wa viumbe hai na mikataba ya madini isiyo na maslahi kwa taifa ni moja kati ya sababu nyingi zinazoturudisha nyuma kimaendeleo. endapo mmoja kati yao atafanikiwa kuingia ikulu atafanya nini kukomesha...
Endapo mmoja kati ya wagombea hao atafanikiwa kuingia ikulu kwa nguvu ya wananchi, je atakuwa tayari kuurudisha azimio la arusha? Kama ndiyo, aeleze namna atakavyorudisha na kama hapana, atoe sababu za kutotaka kuurudisha.
01. Ili maendeleo yapatikane ni lazima tutumie vyema na ipasavyo rasilimali hizi nyingi za thamani tulizopewa na Mungu. hii inawezekana ikiwa sambamba na elimu ambayo ndiyo inayozaa ujuzi na maarifa. lakini msingi wa haya yote ni amani, utulivu na mshikamano. Pasipo haya,hakuna maendeleo. Ni...
Imekuwa ni tatizo na gumzo la kila siku katika vyombo vya usafiri, majukwaa ya kisiasa, mitaani, katika maeneo ya biashara, kumbi za starehe, maeneo ya michezo, mashuleni na katika vyuo. gumzo lenyewe linahusiana na hatua za kusimama toka ilipo kituo cha kupigia kura mara baada ya kupiga kura...
Mmeshaelezwa kuwa CDF yuko nje kikazi bado hamuelewi. mwataka muelezwe nini? siku zote hasa jamii hii ya kisasa huamini sana uongo kuliko ukweli. Hii ni hatari. Leo hii, mtu akielezwa ukweli, huyo aliyeeleza anaonekana sio wa maana lakini akitokea mtu mwingine na kuongea topic ile ile ila kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.